Unaona ehh kumbe na wewe ushawashtukia na akiwa hana hela sasa ndo atalalamika kila kona ya mji hapo ukute kaombwa buku ten tuwavulana nao kwa kulaumu
ndio tatizo weng ndio wana balehe hawajui uhalisiaUnaona ehh kumbe na wewe ushawashtukia na akiwa hana hela sasa ndo atalalamika kila kona ya mji hapo ukute kaombwa buku ten tu
ila kweli mkuu ukiwa na pesa za mawazo lazima ikuume ukihonga ila ni vizuri vijana wakasoma alama za nyakati wadada siku hz ukiwapa pesa we ndo unajua mapenzi tutafute pesa mambo mengine baadaeUkiwa na hela za mawazo ndo inakuwaga hivyo.
. Napita tuMahali mtu ambapo utapewa bure ni ulipotokea tu! Labda utafute kulelewa!
Siku hizi mapenzi pesa ukiona huombwi pesa ujue huyo kadoda anabembeleza ndoa! Na mwanaume huna hela wanawake wa nini?
Wanasema kichwa cha chini kina nguvu mifuko ikiwa imetuna sasa wewe mifuko imesinyaa unahangaika nini?! Tafakari