- Thread starter
- #121
Hahhaha, namuwaza huyo jirani
Hahhaha, namuwaza huyo jirani
Itakuwa buza kwa mpalangeUnaishi wapi?
huyo jirani hatokusahau maishani mwake! Siyo dharau mkuu, ni utu.
Tena ya kiwango Cha lamiKweli aisee, muombaji hakuja kuomba kiroba Cha chumvi Bali alihitaji kiasi kidogo tu Cha kumkidhi muda ule, kutoa 12,000/= ukanunua chumvi kisa jirani kakuomba ni dharau kubwa Sana!
wengine hawana mishipa ya aibuYaan bandika bandua kama bonga na star
Labda alitak aibe moja akapigie puchuhii yakusukuma nguo ilikuwa inanichosha jamani, kuna mtu nilimwambia hivi unapenda kushika shika pichu zangu? Embu tuheshimiane basi halafu mwanaume tena swala 5 sijui alikuwa nashida gani yule kijana
Yaan we acha tu mkuu mitihan hii!!Vingine vinawashwa tu vinahitaji kupigwa miti hiyo ya kuombaomba Ni gia tu ya kukuingia
Hiyo haina shida kabisa, sasa kuna ile Leo chimvi, baadaye sukari muda unga, mara kibakuri cha mboga mara kuopoa moto na anachukua moto nusu jiko , akitaka kuoga anapitia ndala , kisu sufuria sasa jamani kwanini usikae kwa mama yako kama huwezi kujitegemea?
LabdaLabda alitak aibe moja akapigie puchu
Sasa ungo buku jero tu ye kila siku anaazima khaa!Funzo! mimi kuna jamaa kila siku ana azima ungo wa kuchambulia mchele... uswahilini kuna shida
Kuna MIJITU mingine hainaga aibu anaweza akamuachia huo akautumia ukaisha na akaanza kuazima tenaMnunulie au mwachie huo wako wewe nunua mpya,.lol
Sana yaaniKuomba omba vitu vidogo ni kujiabisha
vijana Wana zileee genye za balehe zinawavurugaga sana
Sa si uvigonge na wewe mitihani hiyo vipi?!Yaan we acha tu mkuu mitihan hii!!
Kiswahili hichoUgali haujakazaa kiswahili hichoo
Akafie mbele huko genye zake huko!vijana Wana zileee genye za balehe zinawavurugaga sana
Wazo lako nalifanyia kazi mkuu!Sa si uvigonge na wewe mitihani hiyo vipi?!
Mamako hajakupa taarifa zangu?..Oyaa we demu acha dharau km unatka kukazwa sema
Hili neno la kukazia ugali linanichekeshaNishaona mara kibao wanapeana unga kwenye kikombe kwa ajili ya kukazia ugali