Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,120
- 27,933
Inawezezekana kabisa, Yaani wao wakifua mie wala sihangaiki kufua naacha ipite, lakini mie nikianza kufua lazima naye afue jamani! Mpaka nikamuuliza kwani ukiacha leo nifue mimi utapungukiwa na nini!,Itakuwa ni mlozi tuu huyo,. lol