Kuombana sukari na chumvi ni kuendeleza umasikini?

Hili neno la kukazia ugali linanichekesha
Kukazia Ugali, ni ile mtu amekosea kukadiria maji na unga. Kwahiyo wakati wa kupika unga unakuwa mdogo hivyo kufanya ugali kubaki ujiuji.

Hapo ndio mtu anaenda kuomba unga kidogo wa kukazia. Na hii huwa siyo kwasababu labda kuna njaa.

Sometimes mahindi yapo ila mtu alichelewa tu kupeleka mashineni.
 
Kuna jirani yangu hapa alipewa 20 na jamaa nje ya mumewe ili aliwe Game.Alipomwambia mumewe kuhusu hiyo jamaa akajibiwa uwe unamwomba hela Mara kwa Mara ili tusishinde njaa tena humu ndani
 
Mimi nilivyokuwa mdogo nilikuwa nikitumwa nikachukue maji ya baridi tulikuwa hatuna fridge.nilikuwa nachukia mno,naenda na jagi langu, nakumbuka mpaka jirani akanichoka.baadae tukanunua freezer letu. Ila kama huna uwezo haina haja ya kuomba omba vitu vidogo vidogo unaweza kuishi bila kuwa navyo.unless uwe na mgeni umepungukiwa sawa
 
Mimi nilivyokuwa mdogo nilikuwa nikitumwa nikachukue maji ya baridi tulikuwa hatuna fridge.nilikuwa nachukia mno,naenda na jagi langu, nakumbuka mpaka jirani akanichoka.baadae tukanunua freezer letu. Ila kama huna uwezo haina haja ya kuomba omba vitu vidogo vidogo unaweza kuishi bila kuwa navyo.unless uwe na mgeni umepungukiwa sawa
Yes, haya mambo ya ujamaa yanategemea sana na unayeishi naye. Huwezi kuishi kijamaa na kila mtu.

Sisi tumekuwa kwenye familia za kijamaa sana, ukienda kumtembelea ndugu lazima achinje kuku akupikie hata kama umeshiba vipi itakudi ule tu kuepusha lawama.

Jirani akiondoka anakuachia funguo za nyumba, ukiwa na shamba wakati wa palizi unaenda kumwambia anaenda kukusaidia kupalilia shambani kwako.

Mtu kama huyo wala hata siyo big deal sana kuombana chumvi na unga. Hadi mboga huwa tunaombana.
 
Sasa ungo buku jero tu ye kila siku anaazima khaa!

Mi ukiazima kitu kwangu Mara 4. ya tano nakwambia live nunua chako jirani
hahahaha! utapata maadui wengi sanaa mtaani kama utafany ivo...
utavalishwa vazi la uchoyo trust me
 
Mimi nilivyokuwa mdogo nilikuwa nikitumwa nikachukue maji ya baridi tulikuwa hatuna fridge.nilikuwa nachukia mno,naenda na jagi langu, nakumbuka mpaka jirani akanichoka.baadae tukanunua freezer letu. Ila kama huna uwezo haina haja ya kuomba omba vitu vidogo vidogo unaweza kuishi bila kuwa navyo.unless uwe na mgeni umepungukiwa sawa
Omba lkn kwa kiasi huyo jirani uliekuwa ukienda kuomba maji ya baridi inawezkana alishakuchoka ila alishindwa kukwambia tu
Na ukute alikuwa akiwaambia majirani zenu wengine
 
Kuna jirani yangu hapa alipewa 20 na jamaa nje ya mumewe ili aliwe Game.Alipomwambia mumewe kuhusu hiyo jamaa akajibiwa uwe unamwomba hela Mara kwa Mara ili tusishinde njaa tena humu ndani
jamaa anapenda mtelemkoo
 
Kukazia Ugali, ni ile mtu amekosea kukadiria maji na unga. Kwahiyo wakati wa kupika unga unakuwa mdogo hivyo kufanya ugali kubaki ujiuji.

Hapo ndio mtu anaenda kuomba unga kidogo wa kukazia. Na hii huwa siyo kwasababu labda kuna njaa.

Sometimes mahindi yapo ila mtu alichelewa tu kupeleka mashineni.
Asante kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom