Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,315
- 6,845
It is the only alternative we are left with!Kwaio ndio tumefikia hapo wabongo, kusali na kuomba ili mvua ije ijaze mabwawa yetu.
Tuokoe kilimo na muhimu zaidi tupate umeme wa kueleweka.
Je wenzetu wa UK, Japan, USA na nchi zingine huwa wanafanya hivi?
Ina maana tatizo ni mwenyezi Mungu kutokuteletea mvua au ni ufisadi, wizi na rushwa iliokithiri ndio chanzo cha matatizo yote?
Wadau leteni mada.