kuomba msaada toka kwa mpenzi.

Aggiegra

Member
Nov 26, 2012
19
2
mashosti wazima..

nina bf tunapendana sana.. mi ninafanya kazi yenye mshshara wa kawaida ila yy ana kupato kikubwa. but i have always been independent na sijawahi omba pesa.

sasa nimepatwa na uhitaji sana wa pesa ila nashindws nianzie wapi kumwambia.. though amekua akisema nikiwa na shida nimwambie..

naogopa na sioni pa kuanzia.. msaada wenu plz..

i appreciate yo effort..
 
kama unatamani kuendelea kua independent mkope, ni kawaida kutumia za mpenzi maramoja moja inapobidi bt isiwe mazoea hadi umgeuze mzazi unles uwe wale wanohitaji wa kuwahonga
 
kama unatamani kuendelea kua independent mkope, ni kawaida kutumia za mpenzi maramoja moja inapobidi bt isiwe mazoea hadi umgeuze mzazi unles uwe wale wanohitaji wa kuwahonga

asante..but sihitaji kuhongwa my dia..
maybe nimkope labda.. yaani najisikia ovyo sana hata sijielewi..
 
Haya mashosti msaidieni shosti mwenzenu anayependana sana na bf wake...
 
Kinachokuogopesha ni nini?

Credit rating yako ni mbaya?
 
wewe ni mwanamke wakisasa hapana kukopa kwa mpenzi wako kwanza wewe sio mke na utamfanya jamaa aone kama vileanalipia bupa. so wewe nenda kakope kwa mashosti wako na sio bf wako sawa. pesa ya mwanaume inaliwa na mwanamke sio kukopeshwa kwa mwanamke
 
mashosti wazima..

nina bf tunapendana sana.. mi ninafanya kazi yenye mshshara wa kawaida ila yy ana kupato kikubwa. but i have always been independent na sijawahi omba pesa.

sasa nimepatwa na uhitaji sana wa pesa ila nashindws nianzie wapi kumwambia.. though amekua akisema nikiwa na shida nimwambie..

naogopa na sioni pa kuanzia.. msaada wenu plz..

i appreciate yo effort..



acha ujinga wewe kwa hyo unaliwa tu, hata ya sabuni hpewi we upo mjini kwel?
 
Kusaidiana ktk mambo madogo madogo mi sioni km kuna ubaya. Hata km uko imdependent kiasi gani huwezi kujitosheleza kwa yote, matatizo hutokea na mtu wakwanza ambaye aweza kuwa kimbilio ni mpenzi wako. Provided kwamba hujawahi kuomba msaada kwake ukimwambia ataelewa as it is the first time.
 
Lord have Mercy!!!!!!!!!!!!! Atiiiiiiiiiiiii! Hujawahi omba chapaaaa! Mhhhhhh! Sasa unaishije mwenzetu! I have been using Bfs money since i was 11!!!!!!!!I dont remember being independent, i dont see myself independent in any near foreseen future!!

About how you should ask for the money thats ma area of expertise! Lets see how many options you got!

1.If you cant face him and beg, the best shot is text him! Its easier and safer coz he will think throughly before repliying calming his balls down before parting with his sweaty earned cash!

2.Start complaining cash shortage and declare bankruptcy! Subiria ajichinje mwenyewe! Ila hii makauzu wanachuna kimyaaa!

3.Ask him directly, japo hii mbinu hasara yake unaulizwa nikupe bei gani, ukijilipua na nipe iliyopo umekwishaaaa!
 
Hahahahahah bonge la solution,2mia hz mbinu shosti upate chapaaa go chop hz monie...
Lord have Mercy!!!!!!!!!!!!! Atiiiiiiiiiiiii! Hujawahi omba chapaaaa! Mhhhhhh! Sasa unaishije mwenzetu! I have been using Bfs money since i was 11!!!!!!!!I dont remember being independent, i dont see myself independent in any near foreseen future!!

About how you should ask for the money thats ma area of expertise! Lets see how many options you got!

1.If you cant face him and beg, the best shot is text him! Its easier and safer coz he will think throughly before repliying calming his balls down before parting with his sweaty earned cash!

2.Start complaining cash shortage and declare bankruptcy! Subiria ajichinje mwenyewe! Ila hii makauzu wanachuna kimyaaa!

3.Ask him directly, japo hii mbinu hasara yake unaulizwa nikupe bei gani, ukijilipua na nipe iliyopo umekwishaaaa!
 
mashosti wazima..<br />
<br />
nina bf tunapendana sana.. mi ninafanya kazi yenye mshshara wa kawaida ila yy ana kupato kikubwa. but i have always been independent na sijawahi omba pesa. <br />
<br />
sasa nimepatwa na uhitaji sana wa pesa ila nashindws nianzie wapi kumwambia.. though amekua akisema nikiwa na shida nimwambie..<br />
<br />
naogopa na sioni pa kuanzia.. msaada wenu plz..<br />
<br />
i appreciate yo effort..
Mi nakushauri nenda kamuombe kwasababu ni bf wako n then hata kama wewe usipo muomba ujue kunawanao omba na wanapewa sasa wewe! Subiria coz hutaki kuhongwa! Wenzako wana zila kiulaini! Baadhi ya sisi wanaume ndo tulivyo! Kwahio wemfate muombemuombe:p:p:p
 
Haya mashosti msaidieni shosti mwenzenu anayependana sana na bf wake...

vip watu8 wewe hua unangoja kuombwa au unagawa tu kwa makadirio ya chini na ya juu, muupe nyie experience mnapoombwa mnaichukuliaje,asije akaachika bure maana wanaume wengine ndio unamtafutia ticketi wale wasiopenda gharama
 
I have been using Bfs money since i was 11!!!!!!!!I dont remember being independent, i dont see myself independent in any near foreseen future!!

hahaha, lara umetishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
vip watu8 wewe hua unangoja kuombwa au unagawa tu kwa makadirio ya chini na ya juu, muupe nyie experience mnapoombwa mnaichukuliaje,asije akaachika bure maana wanaume wengine ndio unamtafutia ticketi wale wasiopenda gharama

siwezi kusema chochote maana walioulizwa ni mashosti...na mimi si shosti heheh
 
Lord have Mercy!!!!!!!!!!!!! Atiiiiiiiiiiiii! Hujawahi omba chapaaaa! Mhhhhhh! Sasa unaishije mwenzetu! I have been using Bfs money since i was 11!!!!!!!!I dont remember being independent, i dont see myself independent in any near foreseen future!!

About how you should ask for the money thats ma area of expertise! Lets see how many options you got!

1.If you cant face him and beg, the best shot is text him! Its easier and safer coz he will think throughly before repliying calming his balls down before parting with his sweaty earned cash!

2.Start complaining cash shortage and declare bankruptcy! Subiria ajichinje mwenyewe! Ila hii makauzu wanachuna kimyaaa!

3.Ask him directly, japo hii mbinu hasara yake unaulizwa nikupe bei gani, ukijilipua na nipe iliyopo umekwishaaaa!
mmmmh sio rahisi kiivo bora kufa masikini kwa kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom