Hakika!Wanawake wengi wenye upeo huo wengi hawana chura kubwa,maana niliwahi soma jarida moja kuwa wanawake wenye akili wengi wao hawana matako makubwa,na wenye matako makubwa akili zao ziko matakoni
Ngoja na mimi nianze utafitiWanawake wengi wenye upeo huo wengi hawana chura kubwa,maana niliwahi soma jarida moja kuwa wanawake wenye akili wengi wao hawana matako makubwa,na wenye matako makubwa akili zao ziko matakoni
Ha ha ha ha...Wanawake wengi wenye upeo huo wengi hawana chura kubwa,maana niliwahi soma jarida moja kuwa wanawake wenye akili wengi wao hawana matako makubwa,na wenye matako makubwa akili zao ziko matakoni
kumbe weye ntu nke
Kuna hili jambo ningependa tujadiliane ama tushirikishane kidogo.
Hakuna asiejua kuwa kila mwanamke kabla hatujavurugwa na dunia huwa matamanio yetu ni siku moja kuolewa na kutengeneza familia na mwanaume fulani hivi amazing(fantancy vs reality).
Sasa tatizo linakuja kuwa huwa wanawake wengi wana mentality kuwa maandalizi ya familia ya baadae haswa kwa mambo yanayohusu assets na gharama zingine ni majukumu ya mwanaume na sio mwanamke.
Hivyo unaweza kukuta binti ana kazi nzuri tu ila hata kujiwekeza kununua hata kiwanja walaaa hawazi au hata kufungua biashara. Anawekeza kwenye mikoba,mawigi,simu za bei ghali,viatu nk. Vitu ambavyo ukivipigia mahesabu unakuta ana viwanja vitano vikubwa tu huku kijijini kwetu.
Hebu fikiria unaolewa ukiwa angalau umejiwekeza kiasi fulani hivyo mkiunganisha nguvu na mwenza wako angalau mnapiga hatua kadhaa kwa haraka kuliko kusubiria mwanaume afanye kila kitu.
Wakati mwingine unakuta binti anadate mwanaume mwenye expossure ya kutosha na mfanyabiashara mzuri, hata kuomba basi hata aelekezwe abc's za biashara, hata kuunganishwa kibiashara nehiiii.
Au unadate mwanaume mwenye uwezo mkubwa kifedha hivyo kazi yake ni kuomba kununuliwa simu ya milioni 2 nk, vitu vya anasa ambavyo kwa kiasi kikubwa havikuongezei lolote la maana zaidi ya sifa za kijinga. Ni kwanini usimuombe mtu wa aina hiyo hata business idea, au angalau uanze jambo lako ie biashara,ujenzi nk kisha umuombe akuongezee kiasi fulani cha pesa? Kwa mwanaume mwenye upeo atakuona una akili na anaweza kukusogeza mahali pazuri.
Mwingine unakuta ni mama kabisa ila hata haiwazii kesho ya mtoto wake ambae anamlea peke yake, yuko busy na starehe na kutumbua pesa za child support, kesho na keshokutwa baba hayupo mtu anaanza kuhaha wakati nafasi ilikuwepo akaichezea
Maisha yamebadilika sana jamani basi nasi wanawake tubadilike in a positive way, tuyaishi maisha halisi na sio ya kuigiza ili angalau tunapoingia kwenye maisha ya ndoa angalau tuwe na cha kuongeza sio ndio ukiolewa umtwishe mwanaume majukumu ya familia mnayoijenga,familia ya kwao na ya kwenu pia. No wonder wanakufa mapema hawa watu.
Tuzitumie fursa vizuri pale zinapopatikana kabla haijawa too late.
Jamani hapa simchagulii mtu maisha ila hakikisha hautokuwa na majuto baadae kuwa "laiti ningejua"!!! Maana hakuna anaependa kesho yake iwe ya kuunga unga.
source bongo5........NAWASILISHA
Usicheke mkuu wataalamu ndio waliothibitisha hilo fanya uchunguzi utabaini ni kweliHa ha ha ha...
Sawa mkuu usisahau kutupa mrejeshoNgoja na mimi nianze utafiti
Mimi kama baba, nitamsapoti binti yangu/wanangu hadi pale watakapo weza kujitegemea.Ambao hatuna kazi/hatuna wa kutusapoti unatushaurije Bro?
Wamekusikia
Kuna hili jambo ningependa tujadiliane ama tushirikishane kidogo.
Hakuna asiejua kuwa kila mwanamke kabla hatujavurugwa na dunia huwa matamanio yetu ni siku moja kuolewa na kutengeneza familia na mwanaume fulani hivi amazing(fantancy vs reality).
Sasa tatizo linakuja kuwa huwa wanawake wengi wana mentality kuwa maandalizi ya familia ya baadae haswa kwa mambo yanayohusu assets na gharama zingine ni majukumu ya mwanaume na sio mwanamke.
Hivyo unaweza kukuta binti ana kazi nzuri tu ila hata kujiwekeza kununua hata kiwanja walaaa hawazi au hata kufungua biashara. Anawekeza kwenye mikoba,mawigi,simu za bei ghali,viatu nk. Vitu ambavyo ukivipigia mahesabu unakuta ana viwanja vitano vikubwa tu huku kijijini kwetu.
Hebu fikiria unaolewa ukiwa angalau umejiwekeza kiasi fulani hivyo mkiunganisha nguvu na mwenza wako angalau mnapiga hatua kadhaa kwa haraka kuliko kusubiria mwanaume afanye kila kitu.
Wakati mwingine unakuta binti anadate mwanaume mwenye expossure ya kutosha na mfanyabiashara mzuri, hata kuomba basi hata aelekezwe abc's za biashara, hata kuunganishwa kibiashara nehiiii.
Au unadate mwanaume mwenye uwezo mkubwa kifedha hivyo kazi yake ni kuomba kununuliwa simu ya milioni 2 nk, vitu vya anasa ambavyo kwa kiasi kikubwa havikuongezei lolote la maana zaidi ya sifa za kijinga. Ni kwanini usimuombe mtu wa aina hiyo hata business idea, au angalau uanze jambo lako ie biashara,ujenzi nk kisha umuombe akuongezee kiasi fulani cha pesa? Kwa mwanaume mwenye upeo atakuona una akili na anaweza kukusogeza mahali pazuri.
Mwingine unakuta ni mama kabisa ila hata haiwazii kesho ya mtoto wake ambae anamlea peke yake, yuko busy na starehe na kutumbua pesa za child support, kesho na keshokutwa baba hayupo mtu anaanza kuhaha wakati nafasi ilikuwepo akaichezea
Maisha yamebadilika sana jamani basi nasi wanawake tubadilike in a positive way, tuyaishi maisha halisi na sio ya kuigiza ili angalau tunapoingia kwenye maisha ya ndoa angalau tuwe na cha kuongeza sio ndio ukiolewa umtwishe mwanaume majukumu ya familia mnayoijenga,familia ya kwao na ya kwenu pia. No wonder wanakufa mapema hawa watu.
Tuzitumie fursa vizuri pale zinapopatikana kabla haijawa too late.
Jamani hapa simchagulii mtu maisha ila hakikisha hautokuwa na majuto baadae kuwa "laiti ningejua"!!! Maana hakuna anaependa kesho yake iwe ya kuunga unga.
source bongo5........NAWASILISHA
ukianza kuwaza hivi ujue umri wako umesogea kidogo.Maana ndiyo busara huwa zinaongezeka.Ila bahati mbya lile kundi linalothirika sana hawana interest na mambo ya baadaye,sijui kuandaa future etc
Kuna hili jambo ningependa tujadiliane ama tushirikishane kidogo.
Hakuna asiejua kuwa kila mwanamke kabla hatujavurugwa na dunia huwa matamanio yetu ni siku moja kuolewa na kutengeneza familia na mwanaume fulani hivi amazing(fantancy vs reality).
Sasa tatizo linakuja kuwa huwa wanawake wengi wana mentality kuwa maandalizi ya familia ya baadae haswa kwa mambo yanayohusu assets na gharama zingine ni majukumu ya mwanaume na sio mwanamke.
Hivyo unaweza kukuta binti ana kazi nzuri tu ila hata kujiwekeza kununua hata kiwanja walaaa hawazi au hata kufungua biashara. Anawekeza kwenye mikoba,mawigi,simu za bei ghali,viatu nk. Vitu ambavyo ukivipigia mahesabu unakuta ana viwanja vitano vikubwa tu huku kijijini kwetu.
Hebu fikiria unaolewa ukiwa angalau umejiwekeza kiasi fulani hivyo mkiunganisha nguvu na mwenza wako angalau mnapiga hatua kadhaa kwa haraka kuliko kusubiria mwanaume afanye kila kitu.
Wakati mwingine unakuta binti anadate mwanaume mwenye expossure ya kutosha na mfanyabiashara mzuri, hata kuomba basi hata aelekezwe abc's za biashara, hata kuunganishwa kibiashara nehiiii.
Au unadate mwanaume mwenye uwezo mkubwa kifedha hivyo kazi yake ni kuomba kununuliwa simu ya milioni 2 nk, vitu vya anasa ambavyo kwa kiasi kikubwa havikuongezei lolote la maana zaidi ya sifa za kijinga. Ni kwanini usimuombe mtu wa aina hiyo hata business idea, au angalau uanze jambo lako ie biashara,ujenzi nk kisha umuombe akuongezee kiasi fulani cha pesa? Kwa mwanaume mwenye upeo atakuona una akili na anaweza kukusogeza mahali pazuri.
Mwingine unakuta ni mama kabisa ila hata haiwazii kesho ya mtoto wake ambae anamlea peke yake, yuko busy na starehe na kutumbua pesa za child support, kesho na keshokutwa baba hayupo mtu anaanza kuhaha wakati nafasi ilikuwepo akaichezea
Maisha yamebadilika sana jamani basi nasi wanawake tubadilike in a positive way, tuyaishi maisha halisi na sio ya kuigiza ili angalau tunapoingia kwenye maisha ya ndoa angalau tuwe na cha kuongeza sio ndio ukiolewa umtwishe mwanaume majukumu ya familia mnayoijenga,familia ya kwao na ya kwenu pia. No wonder wanakufa mapema hawa watu.
Tuzitumie fursa vizuri pale zinapopatikana kabla haijawa too late.
Jamani hapa simchagulii mtu maisha ila hakikisha hautokuwa na majuto baadae kuwa "laiti ningejua"!!! Maana hakuna anaependa kesho yake iwe ya kuunga unga.
source bongo5........NAWASILISHA
EmenMimi kama baba, nitamsapoti binti yangu/wanangu hadi pale watakapo weza kujitegemea.
Naomba tu Mungu anipe uzima na afya njema
Ameen, na kwa hakika utawaepusha na mengiMimi kama baba, nitamsapoti binti yangu/wanangu hadi pale watakapo weza kujitegemea.
Naomba tu Mungu anipe uzima na afya njema
Your mam was absolutely rightBi mkubwa alikuwa anawaambia sistas wangu "Mwanaume sio mtambo wa kugawa pesa bure itakugharimu mwili wako"
women are stpid
Una akili timamu, tatizo unakuta wanawake wengi bado wana akili mgando na hawana kabisa haya mawazo na hiki ndicho kinachotuangusha wanaume wengi. Unakuta una mwanamke mzuri lakini hana mchango wowote katika maisha yako zaidi ya kupanua tu miguu tena akiwa kalala hana hili wala lile. Yaani wavivu mpaka kitandani wakati ameshinda nyumbani siku nzima anaangalia series za Tele Novela ama za Kikorea. Wanaume tunashindwa tu kuwaambia wake zetu kwani hatutaki malumbano, hivyo tunatafuta nyumba ndogo kuondoa stress mnazotupa.
Kuna hili jambo ningependa tujadiliane ama tushirikishane kidogo.
Hakuna asiejua kuwa kila mwanamke kabla hatujavurugwa na dunia huwa matamanio yetu ni siku moja kuolewa na kutengeneza familia na mwanaume fulani hivi amazing(fantancy vs reality).
Sasa tatizo linakuja kuwa huwa wanawake wengi wana mentality kuwa maandalizi ya familia ya baadae haswa kwa mambo yanayohusu assets na gharama zingine ni majukumu ya mwanaume na sio mwanamke.
Hivyo unaweza kukuta binti ana kazi nzuri tu ila hata kujiwekeza kununua hata kiwanja walaaa hawazi au hata kufungua biashara. Anawekeza kwenye mikoba,mawigi,simu za bei ghali,viatu nk. Vitu ambavyo ukivipigia mahesabu unakuta ana viwanja vitano vikubwa tu huku kijijini kwetu.
Hebu fikiria unaolewa ukiwa angalau umejiwekeza kiasi fulani hivyo mkiunganisha nguvu na mwenza wako angalau mnapiga hatua kadhaa kwa haraka kuliko kusubiria mwanaume afanye kila kitu.
Wakati mwingine unakuta binti anadate mwanaume mwenye expossure ya kutosha na mfanyabiashara mzuri, hata kuomba basi hata aelekezwe abc's za biashara, hata kuunganishwa kibiashara nehiiii.
Au unadate mwanaume mwenye uwezo mkubwa kifedha hivyo kazi yake ni kuomba kununuliwa simu ya milioni 2 nk, vitu vya anasa ambavyo kwa kiasi kikubwa havikuongezei lolote la maana zaidi ya sifa za kijinga. Ni kwanini usimuombe mtu wa aina hiyo hata business idea, au angalau uanze jambo lako ie biashara,ujenzi nk kisha umuombe akuongezee kiasi fulani cha pesa? Kwa mwanaume mwenye upeo atakuona una akili na anaweza kukusogeza mahali pazuri.
Mwingine unakuta ni mama kabisa ila hata haiwazii kesho ya mtoto wake ambae anamlea peke yake, yuko busy na starehe na kutumbua pesa za child support, kesho na keshokutwa baba hayupo mtu anaanza kuhaha wakati nafasi ilikuwepo akaichezea
Maisha yamebadilika sana jamani basi nasi wanawake tubadilike in a positive way, tuyaishi maisha halisi na sio ya kuigiza ili angalau tunapoingia kwenye maisha ya ndoa angalau tuwe na cha kuongeza sio ndio ukiolewa umtwishe mwanaume majukumu ya familia mnayoijenga,familia ya kwao na ya kwenu pia. No wonder wanakufa mapema hawa watu.
Tuzitumie fursa vizuri pale zinapopatikana kabla haijawa too late.
Jamani hapa simchagulii mtu maisha ila hakikisha hautokuwa na majuto baadae kuwa "laiti ningejua"!!! Maana hakuna anaependa kesho yake iwe ya kuunga unga.
source bongo5........NAWASILISHA
Ndugu yangu umenena vyema kabisaaaaa. Ila ukweli kuwa nature uwezi pingana nayo, Mind ya mwanaume na mwanamke zipo tofauti zinafanya kazi tofauti kabsa. Japo exceptions zipo ila ni katika kiwango kidogo sana. Ndio maana unachofikiria wewe mwanamke hawez fikiria.Una akili timamu, tatizo unakuta wanawake wengi bado wana akili mgando na hawana kabisa haya mawazo na hiki ndicho kinachotuangusha wanaume wengi. Unakuta una mwanamke mzuri lakini hana mchango wowote katika maisha yako zaidi ya kupanua tu miguu tena akiwa kalala hana hili wala lile. Yaani wavivu mpaka kitandani wakati ameshinda nyumbani siku nzima anaangalia series za Tele Novela ama za Kikorea. Wanaume tunashindwa tu kuwaambia wake zetu kwani hatutaki malumbano, hivyo tunatafuta nyumba ndogo kuondoa stress mnazotupa.
Kuna siku moja demu wangu aliniacha hoi kwa mshangao na hii siwezi kusahau mpaka siku nakufa. Tulikuwa tunakwenda kwenye harusi ya rafiki yangu, nikamwambia demu siku nne kabla ili ajiandae. SIku ilipofika alikuja nyumbani kwangu kujiandaa na nikamuacha anajiandaa kwa masaa kama 5 hivi. Tunaondoka nyumbani tuko nusu ya safari ananiambia eti kasahau kitu nyumbani, nikakasirika na kumuuliza kwa hasira masaa yote ulikuwa unajiandaa iweje umesahau hicho kitu? Ikabidi nigeuze gari mpaka nyumbani, tunafika nyumbani eti anakwenda kupaka lipstick nyingine na kufuta ile aliyenayo huku akijiangalia tena kwenye kioo. Yaani nimeendesha gari kwenda kwenye harusi tulikuwa hatuongei njiani. Yaani mtu unavunja safari kwa ajili ya kupaka lipstick tu?Ndugu yangu umenena vyema kabisaaaaa. Ila ukweli kuwa nature uwezi pingana nayo, Mind ya mwanaume na mwanamke zipo tofauti zinafanya kazi tofauti kabsa. Japo exceptions zipo ila ni katika kiwango kidogo sana. Ndio maana unachofikiria wewe mw