Kuokoa Polisi, kuwe na Kamishna wa Siasa

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,606
8,744
Pamoja na ukweli kwamba Polisi haitakiwi kujihusisha na siasa ukweli ni kwamba Polisi inajihusisha sana na siasa. Kibaya zaidi hakuna uamuzi wa kueleweka na kila kiongozi wa Polisi anafanya maamuzi yake kwa kuangalia kusifiwa au kupandishwa cheo. Polisi wamekuwa wakitafuta sifa kwa watawala badala ya kujali zaidi kuleta usalama kwa wananchi.

Kwa misingi hii ni bora serikali iweke wazi na kuwe na kamishna maalumu wa kushughulikia mambo yote ya siasa. Kamisha huyu awe na elimu ya siasa, demokrasia au habari.

Hii itasaidia vitu viwili
(1) Kufuata sheria kwenye kesi ya mbowe tomeona umuhimu wa kufuata sheria
(2) Maamuzi yanayo fanana badala ya kila kiongozi kufanya maamuzi tofauti.

Hayati alikosea kotoa jeshi kwenye usomi na kujali raia na kuwa kama jeshi la kulinda serikali pekee na viongozi wake.

Sirro kapata kazi ya IGP kwasababu ya ubabe wake na sio akili yake au uwezo wa kuendesha idara. Sasa tunaona Sirro anakutana na mlezi wa vyama kama vile Polisi ni chama cha siasa.

Zamani tulikuwa na makamisaa wa ccm Polisi lakini huyu kiongozi hata kuwa hivyo siasa itakuwa kama idara na itapunguza IGP kuonekana kama chawa!
 
..Wazo lako linawezekana kama tutarudisha mfumo wa chama kimoja.

..Tulikuwa na Kamisaa wa Siasa ktk majeshi kwasababu chama kilikuwa kimeshika hatamu.

..Actually makamisaa wa siasa walikuwepo hata ktk mashirika ya umma kwa mfano Tanesco, Atc, Posta na Simu, etc etc.

..Waliokuwa wakifanya kazi za kitaalamu wakati huo wanasema makamisaa wa siasa wa chama walikuwa tatizo kubwa sana. Kwanza walikuwa wakikwamisha juhudi na mawazo ya wataalamu. Vilevile walikuwa wafujaji wakubwa wa fedha na rasilimali za mashirika ya ummam
 
Pamoja na ukweli kwamba Polisi haitakiwi kujihusisha na siasa ukweli ni kwamba Polisi inajihusisha sana na siasa. Kibaya zaidi hakuna uamuzi wa kueleweka na kila kiongozi wa Polisi anafanya maamuzi yake kwa kuangalia kusifiwa au kupandishwa cheo. Polisi wamekuwa wakitafuta sifa kwa watawala badala ya kujali zaidi kuleta usalama kwa wananchi.

Kwa misingi hii ni bora serikali iweke wazi na kuwe na kamishna maalumu wa kushughulikia mambo yote ya siasa. Kamisha huyu awe na elimu ya siasa, demokrasia au habari.

Hii itasaidia vitu viwili
(1) Kufuata sheria kwenye kesi ya mbowe tomeona umuhimu wa kufuata sheria
(2) Maamuzi yanayo fanana badala ya kila kiongozi kufanya maamuzi tofauti.

Hayati alikosea kotoa jeshi kwenye usomi na kujali raia na kuwa kama jeshi la kulinda serikali pekee na viongozi wake.

Sirro kapata kazi ya IGP kwasababu ya ubabe wake na sio akili yake au uwezo wa kuendesha idara. Sasa tunaona Sirro anakutana na mlezi wa vyama kama vile Polisi ni chama cha siasa.

Zamani tulikuwa na makamisaa wa ccm Polisi lakini huyu kiongozi hata kuwa hivyo siasa itakuwa kama idara na itapunguza IGP kuonekana kama chawa!
Kesi ya Mh. Mbowe inafurumua mengi sana - PGO ni kaa la moto !! habari ya town.
 
Jichanganye wang'oe kwato hizo ndio utajua wanazijua PGO au hawazijui
Kutishana mabo ya ujima, FBI na wenzao wanajifunza si sheria tu, bali taratibu zinazosimama mahakamani.
Tunachokisikia toka mahakamani ni aibu tupu.
Kirungu yeyote anaweza kukirusha, hata mgambo wanaweza.
 
Sasa mwenyekiti kalazwa ndani wiki kadhaa hata amsha amsha za zamani hatuzioni
Kutishana mabo ya ujima, FBI na wenzao wanajifunza si sheria tu, bali taratibu zinazosimama mahakamani.
Tunachokisikia toka mahakamani ni aibu tupu.
Kirungu yeyote anaweza kukirusha, hata mgambo wanaweza.
 
Kesi ya Mh. Mbowe inafurumua mengi sana - PGO ni kaa la moto !! habari ya town.
.... PGO imeelekeza hadi mahabusu wapewe chakula muda gani na kwa ujazo gani! Tumeelimika wengi kwenye kesi ya Mbowe.
 
..Wazo lako linawezekana kama tutarudisha mfumo wa chama kimoja.

..Tulikuwa na Kamisaa wa Siasa ktk majeshi kwasababu chama kilikuwa kimeshika hatamu.

..Actually makamisaa wa siasa walikuwepo hata ktk mashirika ya umma kwa mfano Tanesco, Atc, Posta na Simu, etc etc.

..Waliokuwa wakifanya kazi za kitaalamu wakati huo wanasema makamisaa wa siasa wa chama walikuwa tatizo kubwa sana. Kwanza walikuwa wakikwamisha juhudi na mawazo ya wataalamu. Vilevile walikuwa wafujaji wakubwa wa fedha na rasilimali za mashirika ya ummam
Wakuu wa Wilaya bado ni makamisaa, wanaingia vikao vya kamati ya siasa ya wilaya kwenye chama la wana.
 
Polisi na mambo ya siasa ni vitu tofauti na mbalimbali kabisa..Haya yanayofanyika kwenye hii nchi nikwasababu wananchi tumelala na viongozi hawajielewi.Ndo maana unaona wanafanya vitendo vyakijinga nakujitoa ufahamu.Tunafanya siasa zakijinga hadi kwenye mambo ya msingi alafu tunajiona wasomi na wajanja kumbe bure kabisa.
 
Polisi na mambo ya siasa ni vitu tofauti na mbalimbali kabisa..Haya yanayofanyika kwenye hii nchi nikwasababu wananchi tumelala na viongozi hawajielewi.Ndo maana unaona wanafanya vitendo vyakijinga nakujitoa ufahamu.Tunafanya siasa zakijinga hadi kwenye mambo ya msingi alafu tunajiona wasomi na wajanja kumbe bure kabisa.

..inawezekana watu hawajui kuwa wanakosea.

..mimi nina rafiki zangu wasomi wazuri tu, lakini ukiongea nao unaona wana mitizamo ya ajabu kwelikweli.

..kuna watu wanaamini kwamba tabia na matendo ya uonevu ya CCM ndivyo ambavyo chama tawala kinatakiwa kitende.

..utawasikia wakisema hivyo ndivyo siasa za Afrika zilivyo hakuna namna ya kuzibadilisha.

..ukiwauliza je wangependa kutendewa kama wanavyotendewa wapinzani wanabaki kujiumauma, na kuanzisha mjadala mpya wa " mapungufu" ya wapinzani wa Tz.
 
..Wazo lako linawezekana kama tutarudisha mfumo wa chama kimoja.

..Tulikuwa na Kamisaa wa Siasa ktk majeshi kwasababu chama kilikuwa kimeshika hatamu.

..Actually makamisaa wa siasa walikuwepo hata ktk mashirika ya umma kwa mfano Tanesco, Atc, Posta na Simu, etc etc.

..Waliokuwa wakifanya kazi za kitaalamu wakati huo wanasema makamisaa wa siasa wa chama walikuwa tatizo kubwa sana. Kwanza walikuwa wakikwamisha juhudi na mawazo ya wataalamu. Vilevile walikuwa wafujaji wakubwa wa fedha na rasilimali za mashirika ya ummam
Mkuu hebu tupe elimu kidogo kuhusu hao watu. Sisi wengine hatujawahi kuwasikia

johnthebaptist
 
Pamoja na ukweli kwamba Polisi haitakiwi kujihusisha na siasa ukweli ni kwamba Polisi inajihusisha sana na siasa. Kibaya zaidi hakuna uamuzi wa kueleweka na kila kiongozi wa Polisi anafanya maamuzi yake kwa kuangalia kusifiwa au kupandishwa cheo. Polisi wamekuwa wakitafuta sifa kwa watawala badala ya kujali zaidi kuleta usalama kwa wananchi.
Kama umefikiria vizuri kabla ya kuandika hii thread, tuambie kamisaa atatoka chama gani, na atateuliwa na nani
 
Polisi anafanya maamuzi yake kwa kuangalia kusifiwa au kupandishwa cheo. Polisi wamekuwa wakitafuta sifa kwa watawala badala ya kujali zaidi kuleta usalama kwa wananchi.

Ni kweli wanatafuta sifa mpaka wanasikitisha, nimeshangaa wamepewa magari manufacturer ameyaandika Landcruiser na mwingine Defender kwa maandishi mazuri katika body, wao wamekwenda kuyaandika kwenye windshield "Landcruiser , Defender" maandisi makubwa yanafunika 2/3 ya kioo.

Wangekuwa na akili wangeandika Police badala ya aina ya gari kwakuwa kuwaandikia watu wasome aina ya gari is imaterial mara kumi wangeacha tu!
 
Back
Top Bottom