Nasema
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 556
- 344
Kuna jamaa ana ugomvi na girl wake. Kanisimulia nimecheka mno ndipo nikamshauri.
Ni hivi:
Huyo girl alienda home kwa boy akalala huko, wakado. Asubuhi wakawa wamepanga kwenda town kununua vitu fulani. Dada akaamka akaoga akajiandaa tayari kwa kutoka. Yule kaka yeye si akakataa kuoga, eti haina shida ataoga jioni wakirudi. Ndio ubishani ukaanzia hapo, dada anasema kaoge, kaka anasema no!
Huyo kaka anakaa nyumba yenye apartments mbili, jirani yake naye ni mwanaume bachelor, kusikia hivyo akamshangaa mwenzie vipi hutaki kuoga! Kusikia hivyo jamaa akamchenjia girl wake kwamba eti anatoka na neighbour wake ndio maana they share opinion!
Sasa hivi si vituko jamani, mtu mzima kuhimizwa kuoga!!
Ni hivi:
Huyo girl alienda home kwa boy akalala huko, wakado. Asubuhi wakawa wamepanga kwenda town kununua vitu fulani. Dada akaamka akaoga akajiandaa tayari kwa kutoka. Yule kaka yeye si akakataa kuoga, eti haina shida ataoga jioni wakirudi. Ndio ubishani ukaanzia hapo, dada anasema kaoge, kaka anasema no!
Huyo kaka anakaa nyumba yenye apartments mbili, jirani yake naye ni mwanaume bachelor, kusikia hivyo akamshangaa mwenzie vipi hutaki kuoga! Kusikia hivyo jamaa akamchenjia girl wake kwamba eti anatoka na neighbour wake ndio maana they share opinion!
Sasa hivi si vituko jamani, mtu mzima kuhimizwa kuoga!!