Kuoa ni lazima?

Swali linalotaka jibu sahihi.

Kama Mwanaume anapata kila anachotakiwa kukipata kwenye ndoa kwa njia mbadala, kuna haja ya Kuoa?

Sex atapata nje
Mtoto atamzalisha mtu
Kufua kuna Laundry
Out kuna Hunters
Kula hotelini,

Uzuri hapati stress
Una umri wa miaka mingapi? tuanzie hapo kwanza
 
Halaf mbona kama wanaume wanahisi wao tu ndio wanaweza umwa, au kupata disability then watahudumiwa na wake zao...
 
  • Thanks
Reactions: ywf
Kama mwili wako unawaka tamaa nabhuwezi kujizuia kuoa ni lazima, lakini kama unaweza kujizuia kushiriki uzinzi ndugu yangu achana na kuoa fanya mambo mengine
 
Kama mwili wako unawaka tamaa nabhuwezi kujizuia kuoa ni lazima, lakini kama unaweza kujizuia kushiriki uzinzi ndugu yangu achana na kuoa fanya mambo mengine
kwenye kufanya mambo mengine nashauri kikubwa zaidi iwe kutafuta pesa kwa bidii, walau ukiwa na pesa hutaona madhara ya kutokuoa..
 
Hiyo ni kwa mujibu wa Uislam.
Ukiamua kufuata sheria za Mungu, mali watarithi ndugu zako.
Ukiamua kufuata unavyotaka mwenyewe pia fuata, mengine utakwenda kujua ukifika kwa muumba wako.

Muhimu ni kuandika wosia juu ya hatima yako, ukiandika mgawo wa mali kwa watoto wako hakuna cha Uislamu wala nini!!
 
Usijifunze kwa watu walioshindwa,walioshindwa wana maneno mengi.Ndo sio tu kwamba ni jambo la mtu kuamua ndo pia ni jambo la ki Mungu.Yaani kuumwa kwa mwanamke matumizi yake sahihi ni kwenye ndoa.Ndoa ni ibada na ibada ni lazima ila tu pale taratibu nyingine au maelekezo ya Mungu kuhusu ndoa yanaapokua yanawezekana.Ikijumuisha uwezo wa kukidhi majukumu ya kindoa,bahati mbaya sana kizazi hiki maandalii pekee ya ndoa wanafikiri ni pesa na mali kisha baada ya kuoa kuwageuza wanawake kuwa wahanga wa ndoa,hapana haya si katika ndoa.
Jambo lolote ambalo ni maagizo ya Mungu lazima lifuatwe
 
hata yeye pia atakua mzee, na wanvyozeekaga mapema[/QUITE]Nimesemea kuzeeka wewe, ukishazeeka na huna mke wala watoto unafikiri ni nani atakaekutunza/kukuandalia nguo, chakula na mahitaji yako mengine?

kuna hospitali
Najua hospitali zipo, lakini umefikiria kuwa hata huko hospitali watahitaji mke au watoto kwa ajili ya kukuhudumia, kukuogesha, kukuvalisha, kukulisha pamoja na mahitaji mengine? Au kwa akili yako unahisi madaktari watakufanyia yote hayo!

hapa hata yeye atakukimbia
Kwahiyo akikukimbia ndio hutoweza kuhudumiwa na watoto au hutoweza kuoa mke mwingine?

yeye anafika menopause pia
Kufika menopause kwani kutakuzuia wewe kuoa mke mwingine na kupata watoto?

Unapokuwa unafikiria kitu tumia akili yako ipasavyo na ufikirie leo na kesho pia. Wake zetu ni wasaidizi wetu pia.
 
Uko sahihi na sikulaumu kama bado umdogo. Je kama hao ndugu zako pia nao wanaumwa itakuaje?

Kwani ikiwa mkeo naye anaumwa itakuwaje! Ukiumwa nenda hospitali, huduma zote utapata huko... uwe na fedha tu.
 

Swali linalotaka jibu sahihi.

Kama Mwanaume anapata kila anachotakiwa kukipata kwenye ndoa kwa njia mbadala, kuna haja ya Kuoa?

Sex atapata nje
Mtoto atamzalisha mtu
Kufua kuna Laundry
Out kuna Hunters
Kula hotelini,

Uzuri hapati stress

Pia soma: Kwani lazima kuoana?
Hitaji la maandiko matakatifu, ila kama huamini katika biblia ama quaran si shida. Kuna mambo mengi ambayo kwa mapungufu ya kibinadamu si budi kuishi na mwenza, achilia mbali kuzaa kuna mahitaji ya kijamii kusaidiana katika magonjwa, uzeeni na mikwamo mbalimbali..
 
Mwanzo nilikuwa mtu ambae sikuamini ktk ndoa,niliamini ktk kuwa single sababu niliamini kama ki sex napata,nikihitaji kufuliwa na huduma kama hizo naweka house girl,na mambo kama hayo,but baadae nikagundua nakuwa mpweke,anayekupa sex kuna wakati anaondoka unabaki peke yako,nikawa nikiona watu na familia zao naanza kuimiss hiyo hali,narudi home nakutana na nyumba iliyo kimya kama nilivyoiacha,kuna wakati unapata huzuni unatamani ushee na mtu akuliwaze lakini hayupo,girlfriend hata uwe nae hayupo committed nawewe kihivyo sababu hujamuoa,nikagundua Nina wanawake wengi lakini I'm lonely still.nikajisalimisha mwenyewe ktk ndoa,yes sometime kuna changamoto zake ktk ndoa lakini ukifanya chaguo sahihi ndoa ina raha na furaha zaidi ya changamoto zake.pia usiwasikilize waliokosea kuchagua wanaosema ndoa ngumu ndoa ngumu,sio lazima nawewe upate bahati mbaya hiyo ya kuwa na ndoa ngumu,Fanya chaguo sahihi kwa kumshilikisha mungu na utakuwa na ndoa yenye furaha na amani ya moyo.bila ndoa unakuwa mpweke aisee kuna raha sana unapokuwa na mtu ambae si ndugu anayekujali kwa mapenzi yake tu kwako ambae anapata waswas ukiumwa au ukiwa ktk hatar,ambae anakuwaza na kukuhitaji,ndugu wakifanya hayo ni sababu ni ndugu ila akifanya mtu ambae si ndugu ila kafanya sababu anakupenda ina raha sana.niko ktk ndoa mwaka wa kumi sasa nainjoi sana maisha haya.
 
Back
Top Bottom