Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Mkuu unaweza kuona unaishi vizuri kumbe ushalishwa ile kitu.
Kuna jamaa kamtoa baru mama yake mzaz na kumtupia mizigo nje kisa tu mkewe hatak mama mkwe aje kwake.
Masikini mama wa watu alikuja kutibiwa ila ndo hivyo mwanae kashawekwa kiganjani.
Sijali nimelishwa nini, sijali watu wengine wanafikiria nini... Najali kuwa mimi naenjoy ndoa yangu, na naishi kwa amani na furaha na familia yangu...