nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Afu unaji contradict mara unasifu mara unaponda. Umemmiss mdogo wangu nini? Unajuta kumwacha eeh???
UMEANZA LABDA KAOGOPA ILA TUONGEE UKWELI walahi katika makabila mungu amewabariki ukiacha wachaga wa marangu basi ni hili wahaya wachache sana utakuta wana afya mgogorona tena watakuwa wanawaza mali zao zilizopo kashenye,,kaitaba nani anauza ile migomba yangu sasa hivi else..aaahh nawaheshimu ushaona kuna matwins wa epa wanavyopendeza ninachopenda wakizishika wala awaitaji uwajue yaanai utawambua kwa matendo yao ni nani uliza mahakimu wa epa nisifike huko