Christinah
Senior Member
- Nov 13, 2014
- 100
- 17
CONTROVERSIAL TOPIC:
Kila Mwanaume akitaka kuoa anatafuta Mwanamke aliyetulia na mwenye tabia njema. Wengine huenda mbali na kusema wanaoa "wanawake wasiovutia sana" ili wasigongewe, wawe wanamiliki wao peke yao. Na baadhi wanaamini Mwanamke akiwa Mzuri, Mwenye Mshepu Mwenge na Mbagala HAFAI, Eti ukioa Demu mkali hawezi kuwa wako peke yako.
Akili ya Mwanaume imejaa Tamaa masaa 24, Sawa unaoa demu 'wa kawaida' kwa kisingizio kwamba wazuri hawana utulivu, mwisho wa siku hao uliowaacha nje kwa kisingizio hawana utulivu ndio wanakuwa chanzo cha wewe KUCHEAT na kumsumbua huyo "Zena na Betina" uliyemuweka ndani.
Ukiamua Kuoa OA MKE ATAKAYEKUPA MZUKA, achana na hizi longolongo za Wazuri Sijui nini nini. Mke ni wa MILELE, Weka ndani Chombo ambacho hata ukitegwa nje useme MY WIFE IS FAR BETTER THAN THIS! Sasa unaoa demu mbovu kwa kisingizio awe wako peke yako wakati we mwenyewe huna mzuka nae kila siku Mimacho inakutoka kutamani walio nje. Kwanini udhulumu nafsi? Kila demu wa nje mzuri kuliko Mkeo unadhani utatulia?
Sawa Jitahidi upate Demu mwenye Tabia njema lakini Atleast OA demu ambaye akivua nguo kujiandaa kulala umwangalie useme, "Damn, Mahari yangu ilienda kihalali" Sawa ana tabia nzuri, Ukimwangalia Unamtamani Upya? Na hapa ndo Wanaume wa kizazi hiki wanafeli na Rate ya Ndoa Kufa na Cheating is very high.
Wanajifanya wanaangalia Tabia, wenzio wanaoa demu mkali, Mkikutana kwenye Harusi unabakia kumtamania we umekumbatiwa na mtu utadhani binamu yake JOSEPH KONY! Jua kutofautisha Msalaba na Alama ya Kujumlisha X na Kuzidisha.
Kila Mwanaume akitaka kuoa anatafuta Mwanamke aliyetulia na mwenye tabia njema. Wengine huenda mbali na kusema wanaoa "wanawake wasiovutia sana" ili wasigongewe, wawe wanamiliki wao peke yao. Na baadhi wanaamini Mwanamke akiwa Mzuri, Mwenye Mshepu Mwenge na Mbagala HAFAI, Eti ukioa Demu mkali hawezi kuwa wako peke yako.
Akili ya Mwanaume imejaa Tamaa masaa 24, Sawa unaoa demu 'wa kawaida' kwa kisingizio kwamba wazuri hawana utulivu, mwisho wa siku hao uliowaacha nje kwa kisingizio hawana utulivu ndio wanakuwa chanzo cha wewe KUCHEAT na kumsumbua huyo "Zena na Betina" uliyemuweka ndani.
Ukiamua Kuoa OA MKE ATAKAYEKUPA MZUKA, achana na hizi longolongo za Wazuri Sijui nini nini. Mke ni wa MILELE, Weka ndani Chombo ambacho hata ukitegwa nje useme MY WIFE IS FAR BETTER THAN THIS! Sasa unaoa demu mbovu kwa kisingizio awe wako peke yako wakati we mwenyewe huna mzuka nae kila siku Mimacho inakutoka kutamani walio nje. Kwanini udhulumu nafsi? Kila demu wa nje mzuri kuliko Mkeo unadhani utatulia?
Sawa Jitahidi upate Demu mwenye Tabia njema lakini Atleast OA demu ambaye akivua nguo kujiandaa kulala umwangalie useme, "Damn, Mahari yangu ilienda kihalali" Sawa ana tabia nzuri, Ukimwangalia Unamtamani Upya? Na hapa ndo Wanaume wa kizazi hiki wanafeli na Rate ya Ndoa Kufa na Cheating is very high.
Wanajifanya wanaangalia Tabia, wenzio wanaoa demu mkali, Mkikutana kwenye Harusi unabakia kumtamania we umekumbatiwa na mtu utadhani binamu yake JOSEPH KONY! Jua kutofautisha Msalaba na Alama ya Kujumlisha X na Kuzidisha.