Jstar1
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,389
- 1,337
Nawasilisha kwenu mabahari, kama ilivyoandikwa, huu msemo nmeusikia sehemu na umeniingia akilini vilivo.
Maandalizi ya kesho, yameanza jana, na leo ni zawadi.
Nina mpango baada ya miaka nane, panapo majariwa ntachukua jiko ila mpaka saivi nimekua baharia mmoja makini, nmekua nikitoa wadada bikra kama wanne na kuwaacha ata saivi ninaojua walipo ni wawili tu ila hawakunivutia machoni, na skua na mpango nao maana ata maisha yangu ni upside down.
Sasa kuna mabaharia walooa na kuna mabaharia wakavu, naombeni ufafanuzi kuhusu huu msemo, kama ni kweli basi io miaka 8 yangu, nianze kutafta demu bikra, naamini sitakosa, japo mara nyingi hua siwapendi kutokana na usumbufu.
Na wale mnaooa wanawake ambao hawana bikra, ni kweli, mnaoa wake za watu, kwamba ata baada ya miaka 10, anaeza kukugeuka, na io ni mingi yawezekana ata siku ya harusi.
Baharia mwenzenu naamini sana kwenye maono ya mwanamke, ila sasa akija kusumbua, watoto watakua mabaharia mapema sitaki hio itokee, nawapenda sana wanangu wanne, japo sijawazaa. Naomba ufafanuzi kuhusu io kauli mbiu...
Nawasilisha......
Maandalizi ya kesho, yameanza jana, na leo ni zawadi.
Nina mpango baada ya miaka nane, panapo majariwa ntachukua jiko ila mpaka saivi nimekua baharia mmoja makini, nmekua nikitoa wadada bikra kama wanne na kuwaacha ata saivi ninaojua walipo ni wawili tu ila hawakunivutia machoni, na skua na mpango nao maana ata maisha yangu ni upside down.
Sasa kuna mabaharia walooa na kuna mabaharia wakavu, naombeni ufafanuzi kuhusu huu msemo, kama ni kweli basi io miaka 8 yangu, nianze kutafta demu bikra, naamini sitakosa, japo mara nyingi hua siwapendi kutokana na usumbufu.
Na wale mnaooa wanawake ambao hawana bikra, ni kweli, mnaoa wake za watu, kwamba ata baada ya miaka 10, anaeza kukugeuka, na io ni mingi yawezekana ata siku ya harusi.
Baharia mwenzenu naamini sana kwenye maono ya mwanamke, ila sasa akija kusumbua, watoto watakua mabaharia mapema sitaki hio itokee, nawapenda sana wanangu wanne, japo sijawazaa. Naomba ufafanuzi kuhusu io kauli mbiu...
Nawasilisha......