Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 16,384
- 41,390
Trust me on this. Ukitaka kujua mwanamke ni jeuri/kiburi basi awe kakuzidi elimu au kipato. Na akikuzidi vyote hapo lazima uisome namba.
Leo tulienda kumtembelea jamaa ambaye tulisomaga nae kipindi hicho (recently alipatwa na msiba). Fika kwake,tulikaribishwa vizuri tu. Agiziwa vinywaji,story za hapa na pale zikaanza.
Tulivyofika tuliwakuta sebleni akiwaa na mkewe na watoto wanaangalia movie ya Kikorea. Tulipoingia wakapause kutukaribisha. Baada ya utambulisho watoto wote na msaidizi wa kazi waliondoka sebleni,baadae kidogo na shem (mke wa jamaa nae akatoka) so tukabaki wanaume tu tunatwanga story.
Baadae jamaa akaona ngoja a turn kwenye king'amuzi (dstv) tuangalie mechi ya Arsenal. Kutokana na device nyingi kuwa connected,ilibidi achomoe deki ili kuunga king'amuzi. Kabla hajachomoa akatokea msaidizi wa kazi akasema "Baba,Mama amesema eti deki usiizime"
Jamaa akatoka kwenda kuongea nae kujua kulikoni. Sikujua waliongea nini huko walipokuwa,ila wakati natokea wash room nilimsikia mwanamke akisema "Mshahara wako wenyewe hautoshi hata kulipia kodi ya nyumba,ndio utaweza kutoa na ya king'amuzi au hizo unit 28 za luku ulizonunua ndio zinakupa jeuri"
Nilifedheheka as if nimeambiwa mimi yale maneno. Me nikarudi zangu sebleni as if sijaskia chochote.
Jamaa alivyorudi anasema rimoti ya deki imeharibika,tukiizima hapa itawapa tabu kujua walipoanzia,so sijui itakuwaje.
"Tuendeleze story" ndio jibu tulilotoa.
Leo tulienda kumtembelea jamaa ambaye tulisomaga nae kipindi hicho (recently alipatwa na msiba). Fika kwake,tulikaribishwa vizuri tu. Agiziwa vinywaji,story za hapa na pale zikaanza.
Tulivyofika tuliwakuta sebleni akiwaa na mkewe na watoto wanaangalia movie ya Kikorea. Tulipoingia wakapause kutukaribisha. Baada ya utambulisho watoto wote na msaidizi wa kazi waliondoka sebleni,baadae kidogo na shem (mke wa jamaa nae akatoka) so tukabaki wanaume tu tunatwanga story.
Baadae jamaa akaona ngoja a turn kwenye king'amuzi (dstv) tuangalie mechi ya Arsenal. Kutokana na device nyingi kuwa connected,ilibidi achomoe deki ili kuunga king'amuzi. Kabla hajachomoa akatokea msaidizi wa kazi akasema "Baba,Mama amesema eti deki usiizime"
Jamaa akatoka kwenda kuongea nae kujua kulikoni. Sikujua waliongea nini huko walipokuwa,ila wakati natokea wash room nilimsikia mwanamke akisema "Mshahara wako wenyewe hautoshi hata kulipia kodi ya nyumba,ndio utaweza kutoa na ya king'amuzi au hizo unit 28 za luku ulizonunua ndio zinakupa jeuri"
Nilifedheheka as if nimeambiwa mimi yale maneno. Me nikarudi zangu sebleni as if sijaskia chochote.
Jamaa alivyorudi anasema rimoti ya deki imeharibika,tukiizima hapa itawapa tabu kujua walipoanzia,so sijui itakuwaje.
"Tuendeleze story" ndio jibu tulilotoa.