IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Ni hatari sana na utajutia maishani mwako.,pale unapogundua tabia halisi ya mwenzio haiendani na wewe,.
kubali kataa tabia ya nzuri au mbaya utaijua mkiwa ndani,Kwa sababu ndani ya ndoa kuna mengi sana...
Sasa km uko na ndoa ambayo haina talaka ni hatari sana..
Unaweza kuoa au kuolewa na jitu Levi,limalaya...hapendi ndugu zako..lichoyo,mkorofi.,mpiga ramli
Unadhani km hakuna talaka mtaishi VP?
Tafakari chukua hatua.....hasa wamama ni waathirika wakuu wa ndoa...
Sent using Jamii Forums mobile app
kubali kataa tabia ya nzuri au mbaya utaijua mkiwa ndani,Kwa sababu ndani ya ndoa kuna mengi sana...
Sasa km uko na ndoa ambayo haina talaka ni hatari sana..
Unaweza kuoa au kuolewa na jitu Levi,limalaya...hapendi ndugu zako..lichoyo,mkorofi.,mpiga ramli
Unadhani km hakuna talaka mtaishi VP?
Tafakari chukua hatua.....hasa wamama ni waathirika wakuu wa ndoa...
Sent using Jamii Forums mobile app