Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 350
Je ile dhana ya ukipenda boga penda na ua lake. Je mke/mume ataweza kuishi na mtoto wake nyumbani kwenu ili hali mzazi mweziye aliyezaa naye yupo hai.
Je kama anaamua kumuacha mtoto kwa mzazi mwenzake na nyinyi kuishi wawili kuanzisha familia yenu. Je pindi mtoto akiumwa, imani itakuepo kiasi gani pindi ukimrusu mke/ mume kwenda kumjulia hali mtoto wake.
Kifupi nina mpenzi wangu tayari nipo kwenye taratibu za kuoa, ana mtoto moja pia mzazi mwenzake yupo hai.
Naomba tupeane uzoefu kidogo wa hili jambo.
Je kama anaamua kumuacha mtoto kwa mzazi mwenzake na nyinyi kuishi wawili kuanzisha familia yenu. Je pindi mtoto akiumwa, imani itakuepo kiasi gani pindi ukimrusu mke/ mume kwenda kumjulia hali mtoto wake.
Kifupi nina mpenzi wangu tayari nipo kwenye taratibu za kuoa, ana mtoto moja pia mzazi mwenzake yupo hai.
Naomba tupeane uzoefu kidogo wa hili jambo.