Kuoa bila kukusudia

Salamander

JF-Expert Member
Dec 7, 2012
28,538
15,737

2c64c6811d1efc34b4e422c5479ac9bc
 
huyu jamaa huenda katia mimba sasa mtaa mzima umemlia bango kua lazima aoe.
 
Yaani nimecheka balaa. Kweli hii bila kukusudia maana jamaa kanuna hana hata raha
 
MEANDU unajua wengi wa humu aidha ni wabishi au wanakurupuka au basi tu maana ni aibu mtu kukanusha habari na kesho yake ikathibitishwa. Kama huyu jamaa yetu hajui kuwa kila image unagoogle inakupa source etc.
 
Daah jf bana kuna kila haja ya kusign in kila siku,hutapoteza mda wako coz kuna werevu wengi viaz wanahesabika tu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom