GlorytoGod
Senior Member
- Sep 8, 2012
- 158
- 50
Heshima kwenu wana JF,
Mimi ninashida moja ya kuwa nikinywa maji mengi sana maana inaweza kufika saa 4asubuhi nimeshakunywa kama maji lta 4.
Ila nikikaa baada ya muda kichwa kinaanza kuniuma sana nasikia kizunguzungu mpaka nikae baada ya muda kama masaa 3 ndo napata nafuu.
Wandugu nisaidieni tatizo ni nini?
Mimi ninashida moja ya kuwa nikinywa maji mengi sana maana inaweza kufika saa 4asubuhi nimeshakunywa kama maji lta 4.
Ila nikikaa baada ya muda kichwa kinaanza kuniuma sana nasikia kizunguzungu mpaka nikae baada ya muda kama masaa 3 ndo napata nafuu.
Wandugu nisaidieni tatizo ni nini?