Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 13,571
- 18,595
Ndio utaratibu wa Wazee wetu, ilipaswa ustahimili japo kwa saa kadhaa.hyo hd nikabadili nguo na kuoga kabisa..
Ndio utaratibu wa Wazee wetu, ilipaswa ustahimili japo kwa saa kadhaa.hyo hd nikabadili nguo na kuoga kabisa..
Hahaha yani mate ndio baraka?Nilienda kibosho kipindi flni nikatoa ofa ya bia kwa vibibi kama 9 hivi..walinitemea mate siku hyo hd ikabidi nikabadili nguo na kuoga kabisa..
Hizo ndio baraka wanakupa
Hahahaaa... Jamaniafu nilicho kiskia kwa wachaga hiyo ni kama desturi, katoto kakiwa hivyo hivyo kachanga wanakachapa na konyagi kukatoa mawenge
SijakuelewaHiana mazala kabisa