figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Salaam Wakuu,
Juzi kati nimeenda kumtembelea Mzazi mmoja huko Kijiji cha Lyamkena Makambako. Nikakuta ile Jamii inampa Chai ya bangi Mama mzazi ili maziwa yatoke.
Wanachemsha maji wanaweka majani kadhaa machanga ya bangi kama vile mchaichai then wanaweka Sukari anakunywa kama chai.
Wachagga Wanaweka kwenye Mtori.
Ni kweli maziwa yanatoka, je haina madhara?
Kuna utafiti wowote umefanyika kuhusu chai hii?
Je, kuna elimu inatolewa huko kiliniki ya Mama na Mtoto? Nasikia sikuhizi na wanaume wanatakiwa kwenda.
Je, Mtu akipack majani ya mumea huo kwaajili ya kuwasaidia Wazazi wanaonyonyesha ni kosa?
Asante
Juzi kati nimeenda kumtembelea Mzazi mmoja huko Kijiji cha Lyamkena Makambako. Nikakuta ile Jamii inampa Chai ya bangi Mama mzazi ili maziwa yatoke.
Wanachemsha maji wanaweka majani kadhaa machanga ya bangi kama vile mchaichai then wanaweka Sukari anakunywa kama chai.
Wachagga Wanaweka kwenye Mtori.
Ni kweli maziwa yanatoka, je haina madhara?
Kuna utafiti wowote umefanyika kuhusu chai hii?
Je, kuna elimu inatolewa huko kiliniki ya Mama na Mtoto? Nasikia sikuhizi na wanaume wanatakiwa kwenda.
Je, Mtu akipack majani ya mumea huo kwaajili ya kuwasaidia Wazazi wanaonyonyesha ni kosa?
Asante