nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 858
Habarini wasomi,
Leo ni siku ya 12 nimenyimwa dhamana hapa kituo cha polisi baada ya kifunguliwa kesi ua jinai kwa kujioatia pesa kwa njia ya udanyanyifu kitu ambacho siyo kweli kwani tulifanya biashara na mdai amekubali nimlipe kidogo kidogo lakini polisi wanataka nilipe nusu ya 15mln ninayodaiwa na nipate mdhamini ambaye ni mtumishi wa umma akiwa na barua ya mwajiri.
Nifanyeje kwani mpelelezi na uongozi wa polisi mkoa hawataki kunielewa kabisa.
Nasubiri.
Leo ni siku ya 12 nimenyimwa dhamana hapa kituo cha polisi baada ya kifunguliwa kesi ua jinai kwa kujioatia pesa kwa njia ya udanyanyifu kitu ambacho siyo kweli kwani tulifanya biashara na mdai amekubali nimlipe kidogo kidogo lakini polisi wanataka nilipe nusu ya 15mln ninayodaiwa na nipate mdhamini ambaye ni mtumishi wa umma akiwa na barua ya mwajiri.
Nifanyeje kwani mpelelezi na uongozi wa polisi mkoa hawataki kunielewa kabisa.
Nasubiri.