TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,805
Kila kukicha, Viongozi wa Chadema Wanakamatwa kama kuku lakini wako Kimya. Wakamatwa wakisalimia mtu, Wanakamatwa hata wakitazama Daraja likijengwa, Wanakamatwa wakisimulia Ndoto, Wanakamatwa Wakitoa pole Msibani. Wako tu kimya kama Makondoo!
Wanasukumizwa Kama Mbwa Kutoka Bungeni, Mwenyekiti wa chama pinzani kwao, anaagiza wasukumizwe nje ya Bunge ili adeal nao, kuna dhana Tanzania kwamba Unapokuwa Rais nchi inakuwa ni mali ya mama yako na chama chako.
Chadema Wanashindwa Kutumia Mandate waliyo nayo sasa ya Kuwa na Wabunge karibia 100 na Kutawala karibu Majiji yote Makubwa nchini, wakidhani kuna Wakati mwafaka. Anayekudhulumu kisiasa Tumia akili Mdhulumu 10 times over! Lakini Ninyi hamsikii Ushauri wa Mtu! Mnatakiwa Mtumie Marafiki wa Ndani na nje kutumia Nguvu za ajabu dhidi ya yeyote anayewaonea au kuwahujumu kisiasa! Lakini kwa akili sana!
Time is not in Yall side guys! He who shay away from self defense will soon cease to exist!
Lowassa asiwadanganye ati watulie 2020 Watashida. Kwa Mtindo huu 2020 watavurugwa kihuni watabakia wabunge 6 out of 100. I wish I was CHADEMA chairman for 6 months! Ningekomesha hawa washenzi. Mwonezi usiporeact anaona yupo justified, ukireact kwa nguvu ya kumtoa damu puani anaona kosa lake, ( A bloody nose, will teach a bully a lesson) Hivi Urafiki wa Lowassa na Uhuru Kenyatta anautumia kwa Manufaa Gani? I wish these guys Listen, wataingia Kaburini na Dharau zao!
Wanasukumizwa Kama Mbwa Kutoka Bungeni, Mwenyekiti wa chama pinzani kwao, anaagiza wasukumizwe nje ya Bunge ili adeal nao, kuna dhana Tanzania kwamba Unapokuwa Rais nchi inakuwa ni mali ya mama yako na chama chako.
Chadema Wanashindwa Kutumia Mandate waliyo nayo sasa ya Kuwa na Wabunge karibia 100 na Kutawala karibu Majiji yote Makubwa nchini, wakidhani kuna Wakati mwafaka. Anayekudhulumu kisiasa Tumia akili Mdhulumu 10 times over! Lakini Ninyi hamsikii Ushauri wa Mtu! Mnatakiwa Mtumie Marafiki wa Ndani na nje kutumia Nguvu za ajabu dhidi ya yeyote anayewaonea au kuwahujumu kisiasa! Lakini kwa akili sana!
Time is not in Yall side guys! He who shay away from self defense will soon cease to exist!
Lowassa asiwadanganye ati watulie 2020 Watashida. Kwa Mtindo huu 2020 watavurugwa kihuni watabakia wabunge 6 out of 100. I wish I was CHADEMA chairman for 6 months! Ningekomesha hawa washenzi. Mwonezi usiporeact anaona yupo justified, ukireact kwa nguvu ya kumtoa damu puani anaona kosa lake, ( A bloody nose, will teach a bully a lesson) Hivi Urafiki wa Lowassa na Uhuru Kenyatta anautumia kwa Manufaa Gani? I wish these guys Listen, wataingia Kaburini na Dharau zao!