mshkaji wako akikuomba tig. (ndogo) ukamnyima ni unyanyasaji wa kimapenzi, mfano tu ... nk.Jamani wana JF nauliza swali ili nipate kujua maana watanzania may be hatujui maana ya kunyanyaswa kimapenzi.naomba munielimishe mtu kunyanyaswa kimapenzi maana yake nini?kwa pande zote mbili mwanaume au mwanamke??
Hili nalo unyanyasaji kimapenzi, sio kurekebisha tabia. Ingekuwa ni kurekebisha tabia asingekutukana mbele ya watu na wala muwapo peke yenu. nijuavyo mm kama unataka kumrekebisha mpenzi wako tabia ni kukaa chini na kumweleza wapi amekosea na sio kutukana. Vile vile hadi wapenzi mnafikia hatua hii ya kutukanana mbele za watu sasa huko ni kutokuwa na heshima kwa mwenzio.mh basi asante Pretty je ukimpenda mtu halafu anakutukana anakupa kashfa,anakutafutia sababu kila siku ziszo za msingi kama kukusingizia una mahusiano na mwanamke mwingine wakati si kweli au mwanaume?kukutukana?kukuvunjia heshima mbele za watu kama kukutukana mbele za watu?hiyo nayo ipo vipi?ni kurekebisha tabia au unyanyasaji?
hiyo ndio point yangu, wewe ulipouliza swali ulitaka upate point na mawazo unayoyataka tu! we vipi? kama 'umenyanyaswa' usijekumalizia hasira zako kwangu, eboowewe Outlier kama huna point bora unyamaze kuliko kuongea pumba!
hiyo ndio point yangu, wewe ulipouliza swali ulitaka upate point na mawazo unayoyataka tu! we vipi? kama 'umenyanyaswa' usijekumalizia hasira zako kwangu, eboo
powa, tabu ataka kuleta mambo ya kunyanyapaana na ku-classify-ana humu ... lol... basi basi taratibu mazee, usianze nawe 'kumnyanyasa' Tabu.
Unakosea.wewe Outlier kama huna point bora unyamaze kuliko kuongea pumba!
wewe Outlier kama huna point bora unyamaze kuliko kuongea pumba!
hiyo ndio point yangu, wewe ulipouliza swali ulitaka upate point na mawazo unayoyataka tu! we vipi? kama 'umenyanyaswa' usijekumalizia hasira zako kwangu, eboo
wewe outlier naona una matatizo ya akili ee umeongea pumba ndo maana si kuwa nimenyanyaswa bora kunyamza kuliko ujibu pumba mbona wengine wamenyamaza kama hawana point?mambo ya tigo ndio nini!!!hebu achja utoto,ndo unyanyasaji wenyewe huo.
yapo mengi tu ambayo mtu anaweza kunyanyaswa kimapenzi, nikianza kuongea hayataisha.
.
TAbu karibu, hayo uliloyasema kama manyanyaso ni kweli huo ni unyanyasaji.
Mzee wa T. Fidel ukiomba T. kwa mwenzako si unyanyasaji unyanyasaji ni pale umeomba afu mwenzako hataki then we ukawaunalazimishia au ukafikia hata hatua ya kumnyima 'unyumba' kwa sababu tu hakupi T.
Umesema?....