Kindimbajuu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 710
- 243
mimi na miaka 29 na watoto wa kwanza wapo na mama watatu na wawili wapo hapa kwangu naishi nao wakubwa miaka 16 na huko kwao anao mke wa kwanza wakike 3 kawatekeleza na mke wa huko pia kashamwacha hana uhusiano nae lakini talaka hajampa huyu jamaa ni foregner si mtanzania na kuhusu watoto hawa amesema kamwe huwapati watalelewa
hivi huyo mgeni ndo anakusumbua namna hii?/ wewe mahakama huzijui? au ulisha kwenda wakakusumbua?
ushauri
omba talaka akisumbua mshataki mahakamani na utapata uhalali wa kisheria wa kuondoka hapo. unaondoka na watoto wako. utaweza tu kuwalea, hata kama ni kwa taabu , hawata kufa. wataishi