Kunya anye Kuku,akija Bata kaharisha

Kugeuka

JF-Expert Member
Jan 16, 2014
331
221
Mh. Polepole anachanja mbuga huko karatu na kupiga kampeni ili wananchi wamchague mbunge wa ccm uchaguzi ujao. Amewaambia wamfuate mzee wao Slaa,ilihali tunajua kua Dr. Slaa hajajiunga na chama chochote mpaka dk hii. Ila kwa kauli za Polepole ni dhahiri na ni ofisho,dr slaa amejiunga na Ccm japo hajajitangaza. Alichokifanya Polepole,angekifanya mpinzani naamni ingekua nongwa!!!! Chanzo Gazeti la Mwananchi online Polepole amtumia Dk Slaa kuing’oa Chadema Karatu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom