Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,924
- 3,904
Naelewa juhudi za serikali zinazoendelea kuboresha shirika letu la ndege na mambo mengine. Kuna order ya ndege mpya imeshafanyika na advance imelipwa. Najaribu kuwaza tu kati ya kuwapa mikopo vijana wetu walio chuo kikuu na kununu ndege mpya by cash kipi ni bora zaidi? Sasa hivi eti mikopo inagawiwa kwa wale wanafunzi wanaofaulu vizuri,ufaulu na hali ya mtu vina uhusiano gani? Naona serikali inakimbia jukumu lake hapa na sioni kama kuna umuhimu wa kununua hizo ndege kwa cash kama vijana wetu wanashindwa kupata elimu.
Namshauri Rais na timu yake waliangalie hili kwa mapana yake.
Namshauri Rais na timu yake waliangalie hili kwa mapana yake.