Umiliki wa Ardhi na Nyumba: Taratibu, Mchakato na Ushauri wa Kununua na Kumiliki Kihalali

Katibu Tarafa,

Una uhakika na jibu lako kwa Majita?

Ninavyojua mimi, huyo mtu anahitaji power of attorney ili aweze kushughulikia mambo yako.
Kuna mambo mengi sana kwenye masuala ya viwanja huwezi kufanya unless ni kiwanja chako au una power of attorney.

Majita, kama una ndugu unayemwamini basi mpatie hiyo power of attorney na ataweza kufanya kila kitu chako kama vile ambavyo ungeweza kufanya wewe.

Ila ukirudi TZ, huwezi kuwa na madaraka ya moja kwa moja na hizo hati zako, itabidi ubadilishe hiyo power of attorney ambayo ulimpa jamaa. Vinginevyo kwa kila kitu kwenye hati yako itabidi jamaa ndiye awe anaeka sahihi.

Duu hapo sasa ni pagumu kidoogo.Si unajua tena ndg yangu.Sisi sote ni waTZ tunajua shida inayoweza kutokea badae.

Labda swali lingine ni kuwa Je! naweza kutumia picha na sahihi za mtoto wangu wa kike wa miaka 11 sasa ambaye yuko Tanzania badala ya mimi na huyo ndg yangu akawa mwelekezaji tuu? Je, sheria inaweza kumruhusu mtoto wa umri huo kumiliki ardhi au basi tuseme hata kiwanja tuu cha medium density? Nisaidieni jamani.

Nazidi kukumbushia mwenye namba ya afisa wa ardhi Mwanza ndugu zangu.

Regards.
 
Duu hapo sasa ni pagumu kidoogo.Si unajua tena ndg yangu.Sisi sote ni waTZ tunajua shida inayoweza kutokea badae.

Labda swali lingine ni kuwa Je! naweza kutumia picha na sahihi za mtoto wangu wa kike wa miaka 11 sasa ambaye yuko Tanzania badala ya mimi na huyo ndg yangu akawa mwelekezaji tuu??Je sheria inaweza kumruhusu mtoto wa umri huo kumiliki ardhi au basi tuseme hata kiwanja tuu cha medium density???Nisaidieni jamani.Nazidi kukumbushia mwenye namba ya afisa wa ardhi Mwanza ndugu zangu.
Regards.

Mtoto wa umri huu hawezi kisheria kukufanyia mambo hayo maana bado ni mtoto kufuata na sheria ndugu yangu.Kama utataka afanye basi atafanya kupitia mtu mzima miaka 18 na kuendelea. Kuna watu wanaandikisha watoto wao kumiliki au kuendesha masuala yao.. wajue kisheria watoto hao hawana uwezo ( capacity to contract). Tuwe makini katika masuala ya kisheria kwa kuzingatia among other things umri.
 
Wanajf ukiwa na swala la ardhi nitwangie simu nitakusaidia, naona maelezo hapo juu ni mengi mno mtu wa kawaida ambae hajasomea LAND MANAGEMENT / ADMINISTRATION HAWEZI KUELEWA HARAKA. NITAFURAHI KAMA UTAPIGA SIMU NJE YA MUDA WA KAZI KWANI WAKATI WA KAZI MARA NYINGI HUWA NAKUWA BIZE WAJUMBE,SAA KUMI JIONI NA KUENDELEA NIPIGIE NITAKUPA JIBU LAKO. 0787737616
 
Msaada ndugu wananchi, nina shida nataka kununua kiwanja na dalali kanionyesha huko kigamboni lakini sasa nimetokea kupewa ushauri na wengi eti kwamba uuzaji wa viwanja Kigamboni ulisitishwa naomba kwa yeyote anayejua tafadhali mnipe muongozo maana nimejjaribu hata kuwauliza watuu wanaofanya huko wizarani nao wamenipa majibu tofauti sasa inatia shaka je kwa uelewa haswa kwa wale ambao wamshanunu hivi karibuni je naweza kununua kiwanja kutoka kwa mtu binafsi au kuna viwanja vilivyogawiwa na serikali kama maenneo mengine.pili je ni kweli huko mbele kigamboni itachukuliwa kw a ajili ya project za serikali?

Na kama ni hivyo vipi kwa walengwa amabao ni wamiliki?wataendelea kuwepo au watapewa fidia?na hiyo project inaanza lini?naombeni majibu na mengine nisiyoyajua ili nijua nafanya nini maana nisije ingia mkenge kwa vijisent nilivyosave na kujinyima maishani halafu nije kulia na ukizingatia hatuna utarartibu wa kumbukumbu. Pls nishaurini
 
Msaada ndugu wananchi, nina shida nataka kununua kiwanja na dalali kanionyesha huko kigamboni lakini sasa nimetokea kupewa ushauri na wengi eti kwamba uuzaji wa viwanja Kigamboni ulisitishwa naomba kwa yeyote anayejua tafadhali mnipe muongozo maana nimejjaribu hata kuwauliza watuu wanaofanya huko wizarani nao wamenipa majibu tofauti sasa inatia shaka je kwa uelewa haswa kwa wale ambao wamshanunu hivi karibuni je naweza kununua kiwanja kutoka kwa mtu binafsi au kuna viwanja vilivyogawiwa na serikali kama maenneo mengine.pili je ni kweli huko mbele kigamboni itachukuliwa kw a ajili ya project za serikali?

Na kama ni hivyo vipi kwa walengwa amabao ni wamiliki?wataendelea kuwepo au watapewa fidia?na hiyo project inaanza lini?naombeni majibu na mengine nisiyoyajua ili nijua nafanya nini maana nisije ingia mkenge kwa vijisent nilivyosave na kujinyima maishani halafu nije kulia na ukizingatia hatuna utarartibu wa kumbukumbu. Pls nishaurini
Kuna thread hapa inaendelea kuhusu kigamboni master plan, ukiisoma hutanunua kiwanja huko kigamboni...im not sure lakini hilo litajuwa ni chaka.
 
NI KWELI KWAMBA KUNA MASTER PLAN. ILA HIYO MASTER PLAN HAIHUSIKI NA MAENEO YA KIBADA [20,000 Plots Project], Mikwambe, Toangoma; Kibugumo na Gezaulole.

Kama Hicho Kiwanja kiko katika maeneo hayo, NUNUA. Kama kipo Mji Mwema, Mikadi, Tungi, Vijibweni. Cha Moto, Kiwache/.

Msaada ndugu wananchi, nina shida nataka kununua kiwanja na dalali kanionyesha huko kigamboni lakini sasa nimetokea kupewa ushauri na wengi eti kwamba uuzaji wa viwanja Kigamboni ulisitishwa naomba kwa yeyote anayejua tafadhali mnipe muongozo maana nimejjaribu hata kuwauliza watuu wanaofanya huko wizarani nao wamenipa majibu tofauti sasa inatia shaka je kwa uelewa haswa kwa wale ambao wamshanunu hivi karibuni je naweza kununua kiwanja kutoka kwa mtu binafsi au kuna viwanja vilivyogawiwa na serikali kama maenneo mengine.pili je ni kweli huko mbele kigamboni itachukuliwa kw a ajili ya project za serikali?

Na kama ni hivyo vipi kwa walengwa amabao ni wamiliki?wataendelea kuwepo au watapewa fidia?na hiyo project inaanza lini?naombeni majibu na mengine nisiyoyajua ili nijua nafanya nini maana nisije ingia mkenge kwa vijisent nilivyosave na kujinyima maishani halafu nije kulia na ukizingatia hatuna utarartibu wa kumbukumbu. Pls nishaurini
 
NI KWELI KWAMBA KUNA MASTER PLAN. ILA HIYO MASTER PLAN HAIHUSIKI NA MAENEO YA KIBADA [20,000 Plots Project], Mikwambe, Toangoma; Kibugumo na Gezaulole.

Kama Hicho Kiwanja kiko katika maeneo hayo, NUNUA. Kama kipo Mji Mwema, Mikadi, Tungi, Vijibweni. Cha Moto, Kiwache/.

The Following User Says Thank You to Makame For This Useful Post:

Ndibalema (Today)​
 
NI KWELI KWAMBA KUNA MASTER PLAN. ILA HIYO MASTER PLAN HAIHUSIKI NA MAENEO YA KIBADA [20,000 Plots Project], Mikwambe, Toangoma; Kibugumo na Gezaulole.

Kama Hicho Kiwanja kiko katika maeneo hayo, NUNUA. Kama kipo Mji Mwema, Mikadi, Tungi, Vijibweni. Cha Moto, Kiwache/.
Thanks alot i hope hii itanisaidia, ningeingia mkenge wa nguvu maana nilionyeshwa mji mwema. Ubarikiwe
 
Naomba kujua taratibu za kisheri mtu unpotaka kununua ardhi au kiwanja ambacho hakijapimwa N i mambo gani ya kuzingiti ili tatizo linapotokea usipoteze haki zako?
 
naomba kujua taratibu za kisheri mtu unpotaka kununua ardhi au kiwanja ambacho hakijapimwa .Ni mambo gani ya kuzingiti ili tatizo linapotokea usipoteze haki zako?

Kama kiwanja kiko katika eneo la Mji/Jiji/Manispaa/Halmashauri, nk nenda katika mamlaka husika ili upate master plan ya eneo husika kwa kuwa unaweza kuuziwa eneo lililotengwa kwa ajili ya shule/wazi/hospitali/squater, nk. Ukishajua ndio itakuwa mahali pazuri pa kuanzia!
 
Naomba kujua taratibu za kisheri mtu unpotaka kununua ardhi au kiwanja ambacho hakijapimwa. Ni mambo gani ya kuzingiti ili tatizo linapotokea usipoteze haki zako?

Kama ni kijijini unatakiwa kwenda ktk ofisi ya serikali ya kijiji unalipia gharama kwa ajili ya kupata hati ya kimila(customary right of occupance), unatakiwa kuwa na shahidi na pia muandikishane na kutia saini ya makubaliano ya kuuziana kiwanja.

Mama ni mjini process ni hizo tofauti ni kwamba mjini unapewa granted right of occupance. Zingatia ushauri wa Buchanan NB: mashahidi ni wa muhimu sana.
 
Last edited by a moderator:
kama ni kijijini unatakiwa kwenda ktk ofisi ya serikali ya kijiji unalipia gharama kwa ajili ya kupata hati ya kimila(customary right of occupance),unatakiwa kuwa na shahidi na pia muandikishane na kutia saini ya makubaliano ya kuuziana kiwanja.....kama ni mjini process ni hizo tofauti ni kwamba mjini unapewa granted right of occupance.Zingatia ushauri wa Buchanan NB: mashahidi ni wa muhimu sana.
Je, kama ni kiwanja cha urithi kwa maana umepewa na wazazi wako kabla ya kufariki na hamkuandikishiana kokote, je process zake za kutaka kuziandikisha zinakuaje?
 
Je kama ni kiwanja cha urithi kwa maana umepewa na wazazi wako kabla ya kufariki na hamkuandikishiana kokote ,je process zake za kutaka kuziandikisha zinakuaje?

Urithi unajulikana mkuu kwa sababu unapewa wakiwepo mashahidi au shahidi,cha msingi wakati unakiuza kiwanja cha namna hiyo hakikisha hakina mgogoro wa aina yeyote baina yenu wana ndugu kuhusiana na hicho kiwanja.

Ikitokea umeshakiuza ndo mgogoro ukatokea utatakiwa kutoa ushahidi unaojitosheleza kuthibitisha urithi wako hivyo basi shahidi aliyekuwepo wakati unakabidhiwa urithi atakusaidia cha msingi tafuta customary right of occupance au umiliki wa kimila ktk baraza la ardhi kijijini kwako ili uishi kwa amani.
 
Habari ndugu zangu, mimi ni mkazi wa Mbweni Malindi hapa Dar es Salaam, nina kiwanja kikubwa cha 1500 sqm nilikinunua mwaka 2009. kwa muda wote huo nimekuwa nikiangaika kufanya transfer mpaka sasa nimefikia hatua za mwisho kabisa za kulipia na kutengenezewa hati yangu. Nina hitajika kulipia kiasi cha shilingi 800,000 ndipo mchakato huo ukamilishwe.

Kwa sasa nimepatwa na shida kubwa na kitu pekee nilichonacho ni hii ardhi. Ningependa kujua kama ninaweza kuuza ardhi hii ikiwa kwenye transfer? Sheria inasemaje?

Asanteni.
 
Wadau kuna jamaa anataka kuniuzia kiwanja, kipo huko maeneo ya Kivule Ukonga Dar es Salaam. Kutokana mimi si mwenyeji maeneo hayo, nataka nijue kuna maeneo ya viwanja maeneo hayo au ndio vyenye migogoro?

Please mimi nipo Mkoani.
 
Wadau kunajamaa anataka kuniuzua kiwanja kipo huko maeneo ya kivule ukonga dar
Kutokana mm simwenyeji maeneo hayo nataka nijue kunamaeneo ya viwanja maeneo
Hayo au ndio vyenye migogolo, plz mm nipo mkowani.

Mtafute surveyer uende naye hadi kwenye hicho kiwanja unachotaka nunua, atakuwa na gps, atachukua cordinates za hilo eneo...akizipata ..
Ataziingiza kwenye ramani ya town plan. Hilo eneo ndiyo litajulikana liko vp, fanya taratibu hizo
 
Kama nikichukua coordinates mwenyewe nikampatia akiwa kakaa ofisini bei inapungua?
 
Back
Top Bottom