Ukikosa mtu kabisa, achana na hilo zoezi.Ningekua na muda wa kwenda mwanza nisingeuliza kitu, nimeuliza kwanza baada ya kuona siwezi kupata muda wa kwenda mwanza
, umetisha mkuuPole sana kwa kukosa muda mzee baba,we kama vipi tuma hio pesa nusu na ya kutolea halafu itakua fresh tu na baada ya hapo utakua sasa una muda wa kutosha wa kukaa na kusikitia hela yako itakayokua muda huo inanunuliwa malaya pale Villa.
tunasaidiana kuokoa pesa ambazo tunazitafuta kwa taabuZabron hapa sasa ndo umezungumza kitu kikubwa
ha ha,kuwekelea makofi tena? kwa kifupi ilikuwa ni gari ikifika ndo iende garage kukaguliwa kabla ya kumalizia nusu ya hela itayobaki, ila fresh nimewaelewa sana wana, mpango wangu ulkua niache kutumia bebiwoka nipush ndinga kali ya kuelewekaWewe ni wakuwekelea makofi, utatumaje hela na gari hujaikagua?
Hujaeleweka mkuu...sema kununua gari hapa nchini ambayo ishakwisha tumika hapa nchini, wapo wanaouza magari hapa nchini ambayo hayajatumika hapa nchini lakini technically umelinunua hapa nchiniiKununua gari hapa nchini ni sawa na kwenda kutafuta mchumba uwanja wa fisi!
Mimi ni nani hata nimbishie mwenyekiti!Hujaeleweka mkuu...sema kununua gari hapa nchini ambayo ishakwisha tumika hapa nchini, wapo wanaouza magari hapa nchini ambayo hayajatumika hapa nchini lakini technically umelinunua hapa nchinii
fala kwel wewMimi ni nani hata nimbishie mwenyekiti!
Kununua gari ambayo imeshatumika hapa nchini ni sawa na kwenda kutafuta mchumba uwanja wa fisi!
Hakuna mnunuzi wa gari hapa,nimemwambia mimi nipo Mwanza hapa anielekeze walipo nikamkagulie bure hajaonekana tenaKesho nitakua mwanza. Kama utaniamini, nielekeze keshokutwa nikaliangalie hilo gari.
Sioni haja ya wewe kuingia gharama ya kusafiri na fundi. Nenda mpaka mwanza , mafundi utapata huko huko. Ila hakikisha unamtoa sehemu tofauti na ilipo hiyo gari.
Nipo Mwanza....nielekeze nikakuangalizie,muulize kama ni uwanja wa furahisha au mitaa ya u-turn nimfate chapu,maana ndio maeneo yao
....nimekuelewa chiefWe jamaa Unataka kuharibu mipango ya watu, watu wanatafuta school fees January inakaribia.