Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,785
- 28,429
Mimi nipo tofauti na wote,nimefatilis comments zako unapo wajibu wadau inaonekana Biashara yako ipo vizuri tatizo in mtaji na supervision.
Huu ushauri ungekuwa mwanaume ungekufaa zaidi ila kwa vile ni KE sijui hata kama utaufikiria maana wanawake ni waoga kuchukua maamuzi.
Kwanza, Chukua mikopo yote ambapo utakuwa na jumla ya 35M weka kwenye Biashara yako 10M inayobaki 25 nunua bajaji 3ambazo zitakupa 900K-1M kwa mwezi utatumia haya kufanya marejesho ya 15M uliyokopa.
Pili,Acha kazi kasimamie Biashara yako hiyo uliyoweka 10M.pia utapata muda wa kusimamia na hizo bajaji.Baada ya kuacha kazwaone watu wa Bank pale ulipokopa Mkopo wa utumishi vunja Mkataba wambie muingie Mkataba wa kulipa Mkopo ndani ya mwaka 1 utatumia mapato ambayo unayapata dukani kulipa hilo deni.Baada ya mwaka tu utanunua gari uipendayo na kuanza ujenzi wa nyumba ya kupangisha.
Huu ushauri ungekuwa mwanaume ungekufaa zaidi ila kwa vile ni KE sijui hata kama utaufikiria maana wanawake ni waoga kuchukua maamuzi.
Kwanza, Chukua mikopo yote ambapo utakuwa na jumla ya 35M weka kwenye Biashara yako 10M inayobaki 25 nunua bajaji 3ambazo zitakupa 900K-1M kwa mwezi utatumia haya kufanya marejesho ya 15M uliyokopa.
Pili,Acha kazi kasimamie Biashara yako hiyo uliyoweka 10M.pia utapata muda wa kusimamia na hizo bajaji.Baada ya kuacha kazwaone watu wa Bank pale ulipokopa Mkopo wa utumishi vunja Mkataba wambie muingie Mkataba wa kulipa Mkopo ndani ya mwaka 1 utatumia mapato ambayo unayapata dukani kulipa hilo deni.Baada ya mwaka tu utanunua gari uipendayo na kuanza ujenzi wa nyumba ya kupangisha.