Wana jf nataka kununua gari mnadani natumia kampuni ya real Motors sasa weniambia nifanye bid halafu nitoe advance ya dollar 1500 ambayo itakuwa included kwenye manunuzi kama nikipata gari ninayohitaji sasa ninachouliza kuna mtu yoyote alishafanya manunuzi kwa njia hiyo na usalama ya pesa vp