Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,069
- 8,326
Nyumba kwanza gari baadaye. Huwezi kamwe kulinganisha Gari na Nyumba, Nyumba ni zaidi ya Mali. Hiyo ndio hekima na sio ufahari. Maisha ni kupanga na sio kuiga.
Una mke na watoto, anza kuwaza kuwa na Nyumba kwanza kwani ipo siku uchumi wako unaweza kuyumba au Ukafariki dunia, sijui Mkeo na watoto wako watakuwa wapi?
Mawazo ya watu waoga wa maisha hayo, kama mjanja ukiwa na gari unaeza jenga nyumba kwa haraka zaid ya kudunduliza kwa kuwa ni muonga