Kuntakunte
Member
- Dec 9, 2012
- 35
- 2
Habari zenu wadau wa jf? Kuntakunte ndo jina langu,.ningependa kuonyeshwa njia kwani mimi ni mmoja wa wapenzi wa jf..so naombeni saport yenu wakuu..
Karibu sana,soma jf rules kisha twende sawa
karibu JF mkuu...
shukran mkuu..nimekaribia!
Unataka muanzie wapi?? Kwenye siasa, chitchat, habari mchanganyiko au jukwaa la kikubwa??Mkuu katavi tunaanzia wapi kutembea?
Unataka muanzie wapi?? Kwenye siasa, chitchat, habari mchanganyiko au jukwaa la kikubwa??
nimevutiwa na hilo jukwaa la kikubwa hebu nishike mkono twende ukanitambulishe mkuu..
ha ha ha aaah!! Hilo wageni hawaruhusiwi kabla hawajawa wazoefu wa majukwaa mengine kwanza, siku ukiwa mwenyeji utajua namna ya kuingia huko...
bas twenzetu huko chitchat nikapaone.
Karibu sana Chit Chat, huko kumetulia zaidi......Naona umeshakuwa mwenyeji sasa nimeona vitu vyako kule kwenye photos.
teh teh nilikua sijui ndo nikawa na jaribu mpaka nimeweza kuweka photo jukwaani.