EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
Habari za leo wakuu,
Natumai mu wazima wa afya tele. Lakini pia poleni na mihangaiko ya kulisaka tonge.
Sasa ni hivi, leo wakati naperuzi makabrasha yangu kichwani nimejikuta napata wazo hili, kwamba kungejitokeza watu waanzishe shule za Sekondari zitakazo fundisha elimu ya Sekondari kwa lugha ya Kiswahili.
Nadhani hii ingekuwa nzuri sana wakuu kuwasaidia wale ambao hawafaulu kujiunga na kidato cha kwanza kwa lugha ya Kiingereza badala yake wao wajiunge kidato cha kwanza kwa lugha ya Kiswahili.
Lakini pia kuanzishwe na vyuo vitakavyo fundisha elimu ya chuo kwa lugha ya Kiswahili.
Naombeni michango yenu wakuu ninyi mnalionaje hili.
Natumai mu wazima wa afya tele. Lakini pia poleni na mihangaiko ya kulisaka tonge.
Sasa ni hivi, leo wakati naperuzi makabrasha yangu kichwani nimejikuta napata wazo hili, kwamba kungejitokeza watu waanzishe shule za Sekondari zitakazo fundisha elimu ya Sekondari kwa lugha ya Kiswahili.
Nadhani hii ingekuwa nzuri sana wakuu kuwasaidia wale ambao hawafaulu kujiunga na kidato cha kwanza kwa lugha ya Kiingereza badala yake wao wajiunge kidato cha kwanza kwa lugha ya Kiswahili.
Lakini pia kuanzishwe na vyuo vitakavyo fundisha elimu ya chuo kwa lugha ya Kiswahili.
Naombeni michango yenu wakuu ninyi mnalionaje hili.