fakenology
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 999
- 668
Habari za wkend wana jf. Nmeona niulize hili suala la kung fu china kupigwa marufuku.
Katkat ya wik iliyopita nilipita mtaa mmoja nkakuta vijana wawili wakibishana kuwa nani mkali kati ya Jet Lee na Donni Yen. Ckutaka kuingilia mabishano yao nikaona niperuz kwenye net nikakuta vitu vilvyonichanganya kidogo hvyo nkaona hebu niulize wana jf kwa uhakika zaid kwan kuna wengine yawezekana wapo china kabisa.
1; hivi n kweli china wamepiga marufuku kung fu?
2: kwa maoni waliyoyatoa jamaa wanadai kuwa sasa hivi yale tunayoyaona kwenye muvi ni WUSHU na cio KUNG FU. je WUSHU ni nini?.
3: je mashauling monki bado wapo kwan wanadai matempo ya mashauling yamebaki kama majumba ya maonyesho?
4: kama ni kweli wamepiga marufuku kung fu ni kwa sababu zipi?
5: katika uhalisia je ni nani anapigwa kati ya Jet Lee na Donni Yen?
Naomba kuwakilisha kwa kuniondole utata huu.
Katkat ya wik iliyopita nilipita mtaa mmoja nkakuta vijana wawili wakibishana kuwa nani mkali kati ya Jet Lee na Donni Yen. Ckutaka kuingilia mabishano yao nikaona niperuz kwenye net nikakuta vitu vilvyonichanganya kidogo hvyo nkaona hebu niulize wana jf kwa uhakika zaid kwan kuna wengine yawezekana wapo china kabisa.
1; hivi n kweli china wamepiga marufuku kung fu?
2: kwa maoni waliyoyatoa jamaa wanadai kuwa sasa hivi yale tunayoyaona kwenye muvi ni WUSHU na cio KUNG FU. je WUSHU ni nini?.
3: je mashauling monki bado wapo kwan wanadai matempo ya mashauling yamebaki kama majumba ya maonyesho?
4: kama ni kweli wamepiga marufuku kung fu ni kwa sababu zipi?
5: katika uhalisia je ni nani anapigwa kati ya Jet Lee na Donni Yen?
Naomba kuwakilisha kwa kuniondole utata huu.