K Khams Member Jul 15, 2013 36 11 Nov 29, 2014 #1 Kwanini wanawake walio wengi hunenepa wakishajifungua?
D Dafugwadu JF-Expert Member Dec 24, 2012 4,482 4,750 Nov 29, 2014 #2 Khams said: Kwanini wanawake walio wengi hunenepa wakishajifungua? Click to expand... Kwa hawa wa mjini sawa ila wa vijijini ni kinyume chake.
Khams said: Kwanini wanawake walio wengi hunenepa wakishajifungua? Click to expand... Kwa hawa wa mjini sawa ila wa vijijini ni kinyume chake.
kalagabaho JF-Expert Member Nov 4, 2010 5,461 5,860 Nov 30, 2014 #3 Khams said: Kwanini wanawake walio wengi hunenepa wakishajifungua? Click to expand... Kwa sababu ya kunyonyesha wanakula sana. Si unajua maziwa ya mtoto hutegemea anachokula mama?
Khams said: Kwanini wanawake walio wengi hunenepa wakishajifungua? Click to expand... Kwa sababu ya kunyonyesha wanakula sana. Si unajua maziwa ya mtoto hutegemea anachokula mama?
Michael Ngusa JF-Expert Member Aug 4, 2014 1,637 457 Dec 1, 2014 #4 kwasababu wanaanza kutumia yale madaa yetu ili mimba ingine isijitokeze ndani ya mda mfupi
K Khams Member Jul 15, 2013 36 11 Dec 1, 2014 Thread starter #5 kalagabaho said: Kwa sababu ya kunyonyesha wanakula sana. Si unajua maziwa ya mtoto hutegemea anachokula mama? Click to expand... Got you! It might be a reason
kalagabaho said: Kwa sababu ya kunyonyesha wanakula sana. Si unajua maziwa ya mtoto hutegemea anachokula mama? Click to expand... Got you! It might be a reason