KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Jamani nasikitika pale napoona kampeni za chama tawala zinageuka FIESTA ELECTION 2010!
Naomba kufahamishwa kampain meneja Hivi ha wa CCM wameona kitu cha msingi kwa wananchi wao nikuwapelekea marrow,Chege Temba,etc??
Hakuna jinsi yakuwakonvisi wananchi kwa kuwapa sera na hoja nzito zakuwa sababisha wananchi waachene na kuwazoma majimboni??kweli??Mbona hapakuwa na mazoea haya au kwakuwa mpiga tumba wa chama na yeye amekuwa solo artist??
Kundi la wasanii ndiyo mtaji kwa CCM??Hii kali lakini maneno mazuri yawezakuwa kivutio kuliko bongoflava wanaoshika nyeti zao wakati mhe.Yupo anawatizama wanakosa aibu khag!!
Naomba kufahamishwa kampain meneja Hivi ha wa CCM wameona kitu cha msingi kwa wananchi wao nikuwapelekea marrow,Chege Temba,etc??
Hakuna jinsi yakuwakonvisi wananchi kwa kuwapa sera na hoja nzito zakuwa sababisha wananchi waachene na kuwazoma majimboni??kweli??Mbona hapakuwa na mazoea haya au kwakuwa mpiga tumba wa chama na yeye amekuwa solo artist??
Kundi la wasanii ndiyo mtaji kwa CCM??Hii kali lakini maneno mazuri yawezakuwa kivutio kuliko bongoflava wanaoshika nyeti zao wakati mhe.Yupo anawatizama wanakosa aibu khag!!