balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,437
- 12,562
MZEE MDEE NA WAKE ZaKE 18Kama unasubiri haki kutendeka kwenye siasa utasubiri Sana mkuu.
MZEE MDEE NA WAKE ZaKE 18Kama unasubiri haki kutendeka kwenye siasa utasubiri Sana mkuu.
Ndoa ya Baba yako na Mama yako haijasambaratika hata baada ya vipimo vya DNA kubaini wewe si mtoto halali.Kundi la wabunge 19 wa CHADEMA wana siri nzito mno wakizibwaga CHADEMA inasambaratika.
Hilo kundi lilikuwa ndio injini ya CHADEMA wanaijua ndani nje na wanawajua viongozi wote ndani nje si kisiasa tu bali na kimahusiano ya kibinafsi.
Kamati Kuu iwaombe msamaha kwa kuwadhalilisha mbele ya jamii ndani ya masaa 48 kwa hicho kinachoitwa kikao cha kamati kuu ambacho hata quorum haikutimia kilichotoa tamko koko la kuwafukuza uanachama na uongozi.
That is what you're saying.Hujui kwamba tangu watoke hao uliowataja kimedodoke pua vya kutosha? Sasa ni kifo cha mende!!
Huachi ujinga? Katawadhe shombo.Kundi la wabunge 19 wa CHADEMA wana siri nzito mno wakizibwaga CHADEMA inasambaratika.
Hilo kundi lilikuwa ndio injini ya CHADEMA wanaijua ndani nje na wanawajua viongozi wote ndani nje si kisiasa tu bali na kimahusiano ya kibinafsi.
Kamati Kuu iwaombe msamaha kwa kuwadhalilisha mbele ya jamii ndani ya masaa 48 kwa hicho kinachoitwa kikao cha kamati kuu ambacho hata quorum haikutimia kilichotoa tamko koko la kuwafukuza uanachama na uongozi.
Chadema ilishajifia zamani sanaZitto, Dr Slaa, Lowassa, Dr Mashinji etc... Walisema hivyohivyo etii wakiondoka hao siri na blablaa kibao eti CHADEMA itakufa! Brother, itikadi ya chama chochote Cha siasa iwe CCM au CHADEMA hujengwa ktk Mioyo ya wanachama wa kawaida tu.
Hahaha jomba ugali umeshamwagwa tayari Sasa hapa tunasubiri mboga tu imwagwe..tatizo liko wapiKundi la wabunge 19 wa CHADEMA wana siri nzito mno wakizibwaga CHADEMA inasambaratika.
Hilo kundi lilikuwa ndio injini ya CHADEMA wanaijua ndani nje na wanawajua viongozi wote ndani nje si kisiasa tu bali na kimahusiano ya kibinafsi.
Kamati Kuu iwaombe msamaha kwa kuwadhalilisha mbele ya jamii ndani ya masaa 48 kwa hicho kinachoitwa kikao cha kamati kuu ambacho hata quorum haikutimia kilichotoa tamko koko la kuwafukuza uanachama na uongozi.
Brother, ,,, kutoka kura 6m mpk 1m kuna sababu zilizochangia hilo usijitoe upofu ndug, 1. Kwanza kumezuiwa mikutano/shughuli za kisiasa at the same time chama tawala kikifanya mikutano kwa miaka 5 ...Chadema ilishajifia zamani sana
Hata ukitafuta ofisi za wilaya au kata , hakuna kitu.
Kutoka wabunge 79 hadi mbunge 1.
Kutoka chadema iliyokuwa inaoongoza halmashauri na majiji leo hakuna kitu?
Kutoka kura m 6 hadi m1+
Alafu unasema chadema bado ipo imara?
Ndugu,
Chadema ya Dr Slaa siyo hii
Of course itikadi ya Sacco's imejengwa ndani ya roho zao na mioyo yao kwani si ndio inawafanya waishi, wajenge na wanunue magari n.k. kile sio chama mbona muda mrefu..ngoja mboga imwagwe uone...Ni uhuni mtupu..hata Lissuu wao anajua na ndio maana alikuwa anawadharau woteZitto, Dr Slaa, Lowassa, Dr Mashinji etc... Walisema hivyohivyo etii wakiondoka hao siri na blablaa kibao eti CHADEMA itakufa! Brother, itikadi ya chama chochote Cha siasa iwe CCM au CHADEMA hujengwa ktk Mioyo ya wanachama wa kawaida tu.
Hahaha jomba mtu mmoja amesema chadema Ni itikadi imejengwa kwenye mioyo ya watu..that means hata iweje mikutano izuiwe au isizuiwe, hakuna tofauti.. Sasa iweje kura zitoke 6m zishuke mpaka 1m...mioyo hi Ni ileile au kumetokea mpasuko upi jomba...chadema ya Dr Slaa sio hii ya dogo Lissu...tofauti...hivi utafananishaje mtu mzima Tena Dr na huyo dogo ambaye hata hatuwez mpima kwa lolote.labda kwenye utetezi wa ushoga na mabeberu..hilo tu labda .unachekesha jombaBrother, ,,, kutoka kura 6m mpk 1m kuna sababu zilizochangia hilo usijitoe upofu ndug, 1. Kwanza kumezuiwa mikutano/shughuli za kisiasa at the same time chama tawala kikifanya mikutano kwa miaka 5 ...
2. Amablo ni kubwa ni kubebw kwa CCM na tume ya uchaguzi plus polisi
By the way, hakuna marefu yasio na ncha
Acha wafu wazike wafu wenzao..hivyo ndio vyakunyonga mlivyokuwa mnaambiwa na Lissu...vya kuchinja kumbe hamviwezi..Sasa wewe huoni kilichotokea kweye uchaguzi wa mwaka huu?
Hiyo K.O waliyopigwa CDM unafikiri ingefanikiwa Kama CCM isingekuwa na Siri nzito zinazoihusu CDM?
Tatizo la CDM huwa inakimbilia kufukuza wanachama wake pasipo kufanya udadisi wa tatizo lilipo.
Haya leo hii unawafukuza wanachama 19 pasipo kufanya uchunguzi wa kina watu wengine waliokuwa nyuma Yao.
CCM itaendelea kufaidika na kuwa imara Kupitia CDM maana inajua wazi kuwa Wanachama na Viongozi wa CDM huwa don't care pale wanapo poteza.
Wachawi baada ya kushindwa kuroga sasa....aibu sana.Kundi la wabunge 19 wa CHADEMA wana siri nzito mno wakizibwaga CHADEMA inasambaratika.
Hilo kundi lilikuwa ndio injini ya CHADEMA wanaijua ndani nje na wanawajua viongozi wote ndani nje si kisiasa tu bali na kimahusiano ya kibinafsi.
Kamati Kuu iwaombe msamaha kwa kuwadhalilisha mbele ya jamii ndani ya masaa 48 kwa hicho kinachoitwa kikao cha kamati kuu ambacho hata quorum haikutimia kilichotoa tamko koko la kuwafukuza uanachama na uongozi.
Kuziba pengo lililotokana na Dr Slaa kuondoka ni ngumu sana.Aaah wapi cdm ni kiwanda cha kuzalisha vichwa. Underground wapo wengi Sana. Soon pengo lao linazibwa wanasaulika Kama dr Slaa.
Kuna vichwa Kama Yosefa Komba anaweza kazi vizuri.Cdm ni chuo tegemeo hata kwa ccm kupata vichwa
Brother, je, kuhusu CCM kupendelewa na tume ya uchaguzi plus polisi, unasemaje kuhusu Hilo?Hahaha jomba mtu mmoja amesema chadema Ni itikadi imejengwa kwenye mioyo ya watu..that means hata iweje mikutano izuiwe au isizuiwe, hakuna tofauti.. Sasa iweje kura zitoke 6m zishuke mpaka 1m...mioyo hi Ni ileile au kumetokea mpasuko upi jomba...chadema ya Dr Slaa sio hii ya dogo Lissu...tofauti...hivi utafananishaje mtu mzima Tena Dr na huyo dogo ambaye hata hatuwez mpima kwa lolote.labda kwenye utetezi wa ushoga na mabeberu..hilo tu labda .unachekesha jomba
Wametimuliwa sisi wanachama kindaki tupo tunakula bia, nchi Ina watu mil 60+Kundi la wabunge 19 wa CHADEMA wana siri nzito mno wakizibwaga CHADEMA inasambaratika.
Hilo kundi lilikuwa ndio injini ya CHADEMA wanaijua ndani nje na wanawajua viongozi wote ndani nje si kisiasa tu bali na kimahusiano ya kibinafsi.
Kamati Kuu iwaombe msamaha kwa kuwadhalilisha mbele ya jamii ndani ya masaa 48 kwa hicho kinachoitwa kikao cha kamati kuu ambacho hata quorum haikutimia kilichotoa tamko koko la kuwafukuza uanachama na uongozi.
Ujinga tu Siri kwani chama kinafanya jinai?Wakitoa hizo siri itakuwa ni jambo jema kwa Magufuli na CCM yake, wewe endelea kumuomba Mungu hao wakina watoe hizo siri.
Hakujawahi kuwa na siri ya lundo la watu 19 dunia koteKundi la wabunge 19 wa CHADEMA wana siri nzito mno wakizibwaga CHADEMA inasambaratika.
Hilo kundi lilikuwa ndio injini ya CHADEMA wanaijua ndani nje na wanawajua viongozi wote ndani nje si kisiasa tu bali na kimahusiano ya kibinafsi.
Kamati Kuu iwaombe msamaha kwa kuwadhalilisha mbele ya jamii ndani ya masaa 48 kwa hicho kinachoitwa kikao cha kamati kuu ambacho hata quorum haikutimia kilichotoa tamko koko la kuwafukuza uanachama na uongozi.
Mmekuwa mkisema hivi miaka nenda Rudi..CCM imeendelea kujivua Gamba nankuwa mpya siku hata siku..hamjishangai...dua la kuku huwa halimpati mwewe siku zote milele na milele...tatizo lenu huwa hamtaki kujifunza wapi mnapoangukia..mpaka viongozi wenu wanaamua kwenda kuunga juhudi..Wala hamstuki..hahahah..chama mpaka mmekigeuza kuwa Sacco's kwani hatuoni...kazi kwelikweli..Haswaa.. ccm yenyewe ishajifia kitambo, inapumua tu kwa msaada wa polisi na NEC. Kukiwa na mabadiliko ya Katiba tu, ccm kwisha habari yake
Hivi kumbe chama huwa hakina Siri .sikujua hili..Asante kwa kutuelimishaUjinga tu Siri kwani chama kinafanya jinai?
Mboga mboga Leo mlimukuwa na kikao Cha kamati kuu kimya kimyaKundi la wabunge 19 wa CHADEMA wana siri nzito mno wakizibwaga CHADEMA inasambaratika.
Hilo kundi lilikuwa ndio injini ya CHADEMA wanaijua ndani nje na wanawajua viongozi wote ndani nje si kisiasa tu bali na kimahusiano ya kibinafsi.
Kamati Kuu iwaombe msamaha kwa kuwadhalilisha mbele ya jamii ndani ya masaa 48 kwa hicho kinachoitwa kikao cha kamati kuu ambacho hata quorum haikutimia kilichotoa tamko koko la kuwafukuza uanachama na uongozi.