Kuna sehemu nimekaa mlevi mmoja kapuuzia hoja hiyo kuwa ati walofukuzwa watatoa siri kwa kusema kuwa 'vyama havina siri ila siri ziko serikalini' nimetafakari sana ... kwa maana hiyo hakuna cha siri kuvuja wala nni . Tena katoa mfano wa Membe kuwa pamoja na kuwa jasusi mbobezi lakini kwa sasa yuko wapi ?