Kijana ushe2
Senior Member
- Apr 6, 2017
- 176
- 122
Ndugu wanajamvi leo nataka nigusie kuhusu wimbi letu la vijana wa hili taifa la Tanzania:
Moja, vijana tupambane katika kutafuta riziki ya kila siku vijana tujikubali na tuweze kuuachia ubongo uweze kutafsiri vyema namna ya kupambana na maisha ya kawaida ya kila sikh na so kutegemea mtu ama viongozi.
Pili, kwenye kazi tufanye kwa weledi bila ubaguzi na majivuni vijana kama vijana tunapaswa tufanye kazi bila hurka ya kwamba mm nimepata wengine sio bora hapana wewe umepata kwa kuwa ni zamu yako itumie vyema maaana ikienda hiyo nafasi hautafanikiwa na utafanya wengine wasiaminiwe kwasababu yako binafsi.
Tatu, vijana wa viongozi ndio haohao wanaoaminiwa na serikali na so viongozi kwa sababu ni kiongozi, hii ipo kote duniani lakini luna sehemu kwa nchi yetu kijana akiwa karibu na serikali ndio atapata haya kama uwezo wake ni mdogo mno inaumiza na inasikitisha sana.
Nne, vijana tujikite zaidi katika biashara na kilimo kwa ustadi na hali ya juu huku tukipenda kusaidizane kulingana na mazingira.
Mwalimu wa wanafunzi wenye adabu!
Moja, vijana tupambane katika kutafuta riziki ya kila siku vijana tujikubali na tuweze kuuachia ubongo uweze kutafsiri vyema namna ya kupambana na maisha ya kawaida ya kila sikh na so kutegemea mtu ama viongozi.
Pili, kwenye kazi tufanye kwa weledi bila ubaguzi na majivuni vijana kama vijana tunapaswa tufanye kazi bila hurka ya kwamba mm nimepata wengine sio bora hapana wewe umepata kwa kuwa ni zamu yako itumie vyema maaana ikienda hiyo nafasi hautafanikiwa na utafanya wengine wasiaminiwe kwasababu yako binafsi.
Tatu, vijana wa viongozi ndio haohao wanaoaminiwa na serikali na so viongozi kwa sababu ni kiongozi, hii ipo kote duniani lakini luna sehemu kwa nchi yetu kijana akiwa karibu na serikali ndio atapata haya kama uwezo wake ni mdogo mno inaumiza na inasikitisha sana.
Nne, vijana tujikite zaidi katika biashara na kilimo kwa ustadi na hali ya juu huku tukipenda kusaidizane kulingana na mazingira.
Mwalimu wa wanafunzi wenye adabu!