Hiyo asali ndiyo wamekuja kuitengenezea kwako...Kama unapenda asali basi tuwajali na Nyuki.
umisha kwenye dudu kama una kibamia halaf njoo hapa unishukuru basdae mana tatizo lako la kibamia litakuwa limeishaNa Mimi wameingia kwangu,nawatandika na HIT tu .Nimemaliza ya kwanza nafata ya pili mjomba wangu.Na hivi na stress za madeni nawauaaa tu nawafagia Kama mchanga.
Una akili mkuuKwa nini wafe na wana manufaa?
Wangekuwa ni Nzi ningemalizana nao kimyakimya wala nisingeitaji kuja huku.
Wafukukuze na moshiSidhani kama Nyuki huuma bila ya sababu...ndio maana hata kule Mashine ya kusaga au kwa Muuza mananasi wanakuwepo wengi tu.....ukifuata yako ukawaacha na yao wala hawana shida.
Ila chumbani sasa unaweza hata ukamlalia kwenye shuka ukaipata fresh.
Sijakuelewa ila Asante kwa ushauri.umisha kwenye dudu kama una kibamia halaf njoo hapa unishukuru basdae mana tatizo lako la kibamia litakuwa limeisha
Waliniuliaga mbwa wangu hawa washenziWakiwashughulikia ng'ombe wako au watoto ndo utajua ubaya wao
Mnawaelekeza kutoka kwa lugha gani...msije mkatumia kiswahili kumbe wenyewe ni watalii toka ughaibuni huko...Kuna mapishi yalifanyika yanayotumia sukari nyingi naona wakajialika kama Wageni rasmi.
Tatizo ni hapo kwenye kutoka, tunawaelekeza kutoka lakini wapi, na kadri tunavyoacha mlango na dirisha wazi ndivyo wengine nao wanaingia.