Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,321
- 11,386
Anachofanya Mwigulu si kwa bahati mbaya. Anajua vizuri sana na anatumia mbinu ya kumchonganisha Samia na wananchi huku akijipanga kuja gombea Uchaguzi wa mwaka 2025/2030. Hafanyi kwa bahati mbaya.
Hizi tozo mpya anajua anachofanya. Anamshusha Rais Samia huku yeye akijiwekea mazingira ya kupata pesa uchaguzi ujao. Ameanza kujipanga kwa muda mrefu sana. Na hajaacha.
Rais Samia kuwa makini na Mwigulu Nchemba.
Hizi tozo mpya anajua anachofanya. Anamshusha Rais Samia huku yeye akijiwekea mazingira ya kupata pesa uchaguzi ujao. Ameanza kujipanga kwa muda mrefu sana. Na hajaacha.
Rais Samia kuwa makini na Mwigulu Nchemba.