Kundi la Mwigulu linajipanga Uchaguzi mwaka 2025. Mwigulu anatumia nafasi hii Kushusha Umaarufu wa Rais Samia

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,321
11,386
Anachofanya Mwigulu si kwa bahati mbaya. Anajua vizuri sana na anatumia mbinu ya kumchonganisha Samia na wananchi huku akijipanga kuja gombea Uchaguzi wa mwaka 2025/2030. Hafanyi kwa bahati mbaya.

Hizi tozo mpya anajua anachofanya. Anamshusha Rais Samia huku yeye akijiwekea mazingira ya kupata pesa uchaguzi ujao. Ameanza kujipanga kwa muda mrefu sana. Na hajaacha.

Rais Samia kuwa makini na Mwigulu Nchemba.
 
Mkuu unajua process za kutunga sheria??

Hadi mswada unafikishwa Bungeni unajua unapitia hatua zipi??

Mwigulu peke yake hawezi kumkwamisha hasa kwa hili la tozo.

CCM wametengeneza tatizo halafu wakajificha kusikilizia "reaction" walipoona moto hao hao wanalitatua then wanajibebea credits
 
Masikini akipata

IMG-20210718-WA0139.jpg
 
Huyu mtu sio mtu wa mama SSH kumwamini hata kdg na ni mtu wa kujikomba sana kwa maslahi yake binafsi.
Kama bado ana ndoto za Uraisi hafai kabisa ashukuru Mungu kuwa ni mbunge wa huko singida angekuwa anatoka ktk Mikoa inayojitambua hata Udiwani asingepata! Historia yake alipokuwa mambo ya ndani imejaa makandokando mengi sana.
 
Nimegundua kuwa magufuli haikuwa muongo wakati ule anasema "watanzania wengi ni wanyonge", ingawa wengi wa vijana wa Ufipa walilikataa ila kupitia hizi tozo unadhani wengi wao wameitambua nafasi yao kwenye Taifa kama hili .
 
Hivi nani kaloga middle class wa kitanzania?mbona kama vichwa vyao vimejaa funza?maana ufikiri wao ni bora umsikilinze mndendeule wa hapa Lingusenguse,huu mswada umepita ngazi zote hadi kupitishwa including ofisi ya Rais,huwezi sasa baada ya kuona ume backfire unamtwisha mzigo wote huu our Finance Minister hii sio sahihi kabisa,hapa ni Bunge na President kuonyesha the way forward sio kujifanya eti now atauangalia upya hii ni rubbish,lini tutaanza ku take responsibility ya maamuzi yetu?na kutuletea hapa upuuzi huu kuwa Mr.Mwigulu anajipanga kwa mbio za Urais hii nayo ni fake news,toka lini mtoa mada umeshageuka kuwa Sangoma?
 
kuna siku watanzania wakapoamua kujitoa ufaham juu ya hawa wanasiasa ndio tutaelewana vzuri
 
Anachofanya Mwigulu si kwa bahati mbaya. Anajua vizuri sana. Na anatumia mbinu ya kumchonganisha Samia na wananchi huku akijipanga kuja gombea Uchaguzi wa mwaka 2025/2030. Hafanyi kwa bahati mbaya.

Hizi tozo mpya anajua anachofanya. Anamshusha Rais Samia huku yeye akijiwekea mazingira ya kupata pesa uchaguzi ujao. Ameanza kujipanga kwa muda mrefu sana. Na hajaacha.

Rais Samia kuwa makini na Mwigulu Nchemba.
Upo Sahihi SUKUMA GANG utadhani haipo kumbe imetulia KIMKAKATI KuleTwitter kuna Kundi linajiita MPP na lina Nembo hii kazi yao Kumchafua MAMA
Screenshot_20210704-161108_Twitter.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu unajua process za kutunga sheria??

Hadi mswada unafikishwa Bungeni unajua unapitia hatua zipi??

Mwigulu peke yake hawezi kumkwamisha hasa kwa hili la tozo.

CCM wametengeneza tatizo halafu wakajificha kusikilizia "reaction" walipoona moto hao hao wanalitatua then wanajibebea credits
Hii ni mbinu kongwe au ni mbinu mpya?
 
Hivi nani kaloga middle class wa kitanzania?mbona kama vichwa vyao vimejaa funza?maana ufikiri wao ni bora umsikilinze mndendeule wa hapa Lingusenguse,huu mswada umepita ngazi zote hadi kupitishwa including ofisi ya Rais,huwezi sasa baada ya kuona ume backfire unamtwisha mzigo wote huu our Finance Minister hii sio sahihi kabisa,hapa ni Bunge na President kuonyesha the way forward sio kujifanya eti now atauangalia upya hii ni rubbish,lini tutaanza ku take responsibility ya maamuzi yetu?na kutuletea hapa upuuzi huu kuwa Mr.Mwigulu anajipanga kwa mbio za Urais hii nayo ni fake news,toka lini mtoa mada umeshageuka kuwa Sangoma?
Tulia dada usipanic hivyo... Haya mambo hayataki hasira. Kwa hiyo unataka kusema kosa ni la Rais?
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom