Wewe utakuwa na element za Mwiguluism!Hivi nani kaloga middle class wa kitanzania?mbona kama vichwa vyao vimejaa funza?maana ufikiri wao ni bora umsikilinze mndendeule wa hapa Lingusenguse,huu mswada umepita ngazi zote hadi kupitishwa including ofisi ya Rais,huwezi sasa baada ya kuona ume backfire unamtwisha mzigo wote huu our Finance Minister hii sio sahihi kabisa,hapa ni Bunge na President kuonyesha the way forward sio kujifanya eti now atauangalia upya hii ni rubbish,lini tutaanza ku take responsibility ya maamuzi yetu?na kutuletea hapa upuuzi huu kuwa Mr.Mwigulu anajipanga kwa mbio za Urais hii nayo ni fake news,toka lini mtoa mada umeshageuka kuwa Sangoma?