Kundi la mapedeshee watatu waliotamba enzi za Kikwete!

Unafahamu dereva Wa waziri anareport kwa nani? dereva kuanzia kwa mkuu Wa wilaya mshahara wao unatoka kwa nani? dereva Wa waziri unadhani amewekwa pale na waziri husika?? unafaham protokali zao?
Axantee...umemjibu vizuri...ye anafikir Dereva wa waziri anakua wa kawaida kama wa mabasi ya mikoanii..huuhhhuuu my balls....
 
("Wapi kizaizai")("wapi mpakanjia ")(" wapi George Mayenga")
=============
Wanamziki na wasanii mbalimbali hawakuacha kutamka maneno hayo!
Maneno hayo ni majina ya matajili marafiki watatu waliokuwa wanapenda sifa kupindukia!
Katika hao watatu, sijawahi kuona mtu aliyekuwa anapenda sifa kama KIZAIZAI....
Kwanza huyu jamaa miaka yote hakuwahi kumaliza ujenzi Wa nyumba yake zaidi ya kujenga na kubomoa halafu anajenga tena! (Ili Mradi tu aonyeshe anazo)
KIZAIZAI alikuwa akijenga nyumba hadi inakamilika halafu anaibomoa na kujenga tena. (Na Fundi aliyejitia kiherehere cha kumshauri kwamba wasivunje alijibiwa nafanya hivi ili nyinyi mpate kura! Nawalipa Pesa ya kujenga na kubomoa na kujenga tena)

KIZAIZAI Aliwahi kujaribu kubadilisha jina la mtaa mzima uitwe jina lake (KIZAIZAI STREET)
Aliagiza order ya ndoo za rangi toka kiwandani zipakwe kila nyumba mtaa mzima, Kwa madai kwamba mtaa mzima ufanane na hadhi yake kutokana na wageni wanaomtembelea, pia aliweza kupendekeza mtaa mzima upandwe miti mirefu miashoki!
KIZAIZAI hakupenda kukaa na gari aina moja Kwa siku tatu anabadilisha!
KIZAIZAI alikuwa akigawa fedha hususa bandi na wanamziki walipompaisha! Na wale wote walioshangilia walipata fedha!
KIZAIZAI Alipatwa hadi kuimbwa na Diamond katika wimbo wake Wa "kizaizai"
KIZAIZAI sasa kamaliza UJENZI Wa Nyumba yake awamu hii na hataki kubomoa tena!!
View attachment 645110
kizaizai commission agent
 
Jack ilunga na Josee Kongoro ndio mapedeshee wa ukweli wanaoendelea toka enzi hizo....hawa wa kibongo wanabadirika sana kutokana na upepo wa kisiasa
 
Huyu natamani kumfahamu kama kuna mwenye picha yake atuwekee tafadhani, naona ni story ya kusisimua, anafanya biashara ya madini au ni ishu gani
Ni mpigaji aka dalali,anajulikana pia kama super tall
 
41 Reactions
Reply
Back
Top Bottom