kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,481
wakati huo hana kitu DAB.Kwa kipindi hiki DAB ndio anakaa na Le mutuz anasimama.LE MUTUZ SIKU HIZI ANAMWITA DAB -THE FIELD MARSHAL OF DARMbona DAB yupo kasimama??
wakati huo hana kitu DAB.Kwa kipindi hiki DAB ndio anakaa na Le mutuz anasimama.LE MUTUZ SIKU HIZI ANAMWITA DAB -THE FIELD MARSHAL OF DARMbona DAB yupo kasimama??
Hahaha kumbe hawa ni marafiki kutambo sanawakati huo hana kitu DAB.Kwa kipindi hiki DAB ndio anakaa na Le mutuz anasimama.LE MUTUZ SIKU HIZI ANAMWITA DAB -THE FIELD MARSHAL OF DAR
Kweli Mkuu lakini si unajua tena,kwenye Kachumbali bila pili pili hainogi...Anafanya biashara yamagari .nimrefu mweusi .anajipenda sana .lakini mtoa mada mengine katia pilipili sana .
Ana Kesi ya ARV feki yeye na aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es salaam , Madabida.....Papaa musofe
KWANI LE MUTUZ sio PEDEJEE!!
View attachment 646338
Dereva wa Waziri ni dereva kama wengine na anaripoti kwa Mkurugenzi wa Utawala, zaidi anasoma VIP driving ambayo hata ww unaweza enda kusoma hapo NIT.Axantee...umemjibu vizuri...ye anafikir Dereva wa waziri anakua wa kawaida kama wa mabasi ya mikoanii..huuhhhuuu my balls....
Kweli mkuuUmasikini isiwe sababu ya wewe kuwa na chuki na wengine, pambana ili ujitoe kwenye umasikini.
Hela nyingi zinapatikana tu bila hata kuuza unga kama unavyojiaminisha baada ya wewe kushindwa..
Ndama bado yupo na hela zake mkuu ndio maana aliweza kujilipia zamana 200mil wakati wewe hata 5mil huwezi kumiliki.
Papa Msofe yuko uraiani ana kula bata mkuu, Alex Masawe anaishi South Africa na familia..
Kushindwa kuwa tajiri isiwe chanzo cha wewe kuwachukia matajiri na kufikiri kila mwenye hela anauza unga au ni dili..
Pambana tu usikate tamaa bila kuchoka, Mungu ndio mgawa ridhika lakini sio kwa WANAFIKI NA WACHAWI..
Halafu tunadanganywa eti wayahudi ni watu wenye Akili sana duniani. Mi nawazaga huenda Israel ni hii hii tz, au sisi ndio waisrael maana Akili tunazo sana tukiamuaga kuwa nazo.papa msofe nae yuko wapi? alimtapeli myahudi mmoja dhahabu ya mkwanja wa nguvu. myahudi aliapa anakwenda kwao ila ipo siku atarudi!
NipoWapi pedeshzee omary mziray
Wapi??Nipo
Mshahara wa dereva,na kupangiwa amuendeshe nani huwa anapangiwa kutoka wizara ya utumishiUnafahamu dereva Wa waziri anareport kwa nani? dereva kuanzia kwa mkuu Wa wilaya mshahara wao unatoka kwa nani? dereva Wa waziri unadhani amewekwa pale na waziri husika?? unafaham protokali zao?
yeah ndama mtoto ya ng'ombeShaibu mapajero,endru traders wapi mukubwa fikiri madinda..
hahah''tumuimbie kizaizai ooh nakupenda mama dot(dotnata) kama mutoto ya ng'ombe....'' christian bella