Wakati wengine wakisherehekea CCM kuchukua igunga ingawa sisi pia ni CCM lakini tumepata pigo kubwa sana kwani tumepoteza mshirika wetu katika jimbo la igunga na aliyeingia Dr kafumu sio mshirika wetu ni mshirika wa mangula sumaye na mkapa
tutajibu mapigo bila kujali idadi yetu na tumejipanga vya kutosha kuchukua ngazi muhimu za chama kwenye chaguzi za ndani
tutajibu mapigo bila kujali idadi yetu na tumejipanga vya kutosha kuchukua ngazi muhimu za chama kwenye chaguzi za ndani