Latrice
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 2,393
- 2,359
Ni kweli.Hakuna kitu kigum kusafirisha kama silaha za kivita pia kuzitumia sio rahisi kwa mtu ambaye hana mafunzo!!
Pia sio pesa kidogo! risasi zenyewe tu sio pesa kidogo!
Lakini mimi naweza kumiliki AK-47 kwa urahisi kabisa na nikaishi nayo Nyumbani kwangu bila wasiwasi endapo tu sitakuwa na matumizi nayo!
Unajua zinapatikana wapi na zinafikaje mikononi mwa watu? Hii sio kazi yangu Polisi na maafisa wengine wa usalama wanayajua haya yote.
Sasa kama mtu wa kawaida kama mimi naweza kupata AK-47 hao masalafi wenye mapesa kwa kutumia rasilimali zao zote, wenye misimamo inayoungwa mkono na makundi mbalimbali ya kigaidi ya kiislamu watakosa more advanced weapons?
Kusafirisha is not an issue, issue ni utazipataje kwisha mchezo.