tzjamani
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 995
- 30
Na kesho asubuhi vijana wa Dar-es-Salaam na Mbeya nao wakianza kuitikaa wito watafanya nini? Hivi kweli wanafikiri wana magereza ya kutosha kumfunga kila mtu anayewapinga?
MM jamaa wanaweza kuleta hata jajawid/maharamia kutoka somali/sudan. Wanataka kutetea ufisadi wao kwa damu ya raia.