Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,073
Wadau Nawasalimu,
Najua wapo watakaonilaumu lakini wenye Upeo Mkubwa wa Kuona mbali wataniunga Mkono.NCHI yetu inazalisha VIJANA wengi sana MASHULENI na VYUONI lakini wengi wao wanabaki MITAANI wanazururura hawana cha kufanya Wachache wao tena WATOTO wa VIONGOZI ndio Wanapata AJIRA.
Hatari ninayoiona ni hii ya hili KUNDI lisilo na AJIRA.Kundi hili VIJANA wake HAWAJIELEWI na wengi wao wamejiingiza kwenye MAMBO ya HOVYO yasiyo na Tija kwa TAIFA.
VIJANA hawa Wamekuwa Wazururaji Wezi wala Madawa Wabakaji Walevi na Wacheza Kamari Vitendo hivi mimi Naviita ni vya KIJINGA na Wanaovitenda ni WAJINGA.Kadiri Miaka inavyosonga mbele Kundi hili la WAJINGA linazidi kuongezewa.
Wasiwasi wangu ni Kwamba Kundi hili likiwa KUBWA kuna Siku litaamua Kumuunga Mkono Mgombea URAIS MJINGA na kwa WINGI wao Wakampigia KURA na AKASHINDA na NCHI yetu ikaongozwa na MJINGA aliyewekwa Madarakani na WAJINGA
Najua wapo watakaonilaumu lakini wenye Upeo Mkubwa wa Kuona mbali wataniunga Mkono.NCHI yetu inazalisha VIJANA wengi sana MASHULENI na VYUONI lakini wengi wao wanabaki MITAANI wanazururura hawana cha kufanya Wachache wao tena WATOTO wa VIONGOZI ndio Wanapata AJIRA.
Hatari ninayoiona ni hii ya hili KUNDI lisilo na AJIRA.Kundi hili VIJANA wake HAWAJIELEWI na wengi wao wamejiingiza kwenye MAMBO ya HOVYO yasiyo na Tija kwa TAIFA.
VIJANA hawa Wamekuwa Wazururaji Wezi wala Madawa Wabakaji Walevi na Wacheza Kamari Vitendo hivi mimi Naviita ni vya KIJINGA na Wanaovitenda ni WAJINGA.Kadiri Miaka inavyosonga mbele Kundi hili la WAJINGA linazidi kuongezewa.
Wasiwasi wangu ni Kwamba Kundi hili likiwa KUBWA kuna Siku litaamua Kumuunga Mkono Mgombea URAIS MJINGA na kwa WINGI wao Wakampigia KURA na AKASHINDA na NCHI yetu ikaongozwa na MJINGA aliyewekwa Madarakani na WAJINGA