Nahic kufikia robo ya malengo yangu nilojiwekea,ninaelim ya chuo!umri 30!nimeajiriwa shirika binafsi pia ni mjasilia mali!nilisha wahi kupata mkasa wa mapenz nikaumia sana!kwa kifupi nilimsomesha mchumba wangu kwa ngaz ya ctfct!akaolewa na m2 mwingine pind nikiwa masomon!so!wht i need now!nimpate japo mwenye uwaledi!mkweli,anae hic kuwa anasifa za kuwa mke!bila ya kujali elim.mkarim,mpole na pia awe na huruma.muhim:awe ni mwenye kujithamini na kutambua umuhim wa uwepo wake hapa dunian.umri kuanzia 2o-22.